Doubleg Malafyale
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 2,733
- 3,561
Unaweza niunga mkuu zamazamani plskama unauwezo wa kusupply ,ninaweza kufanya mpango kwenye forum yetu ya wanunuzi wa kimataifa ambayo huwa tunalipia kujiunga na wanachama wapo serious
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza niunga mkuu zamazamani plskama unauwezo wa kusupply ,ninaweza kufanya mpango kwenye forum yetu ya wanunuzi wa kimataifa ambayo huwa tunalipia kujiunga na wanachama wapo serious
Kaka mchele at a Kenya unazingua?Mchele peleka zanzibar una bei ya afadhali,ku export mchele kaka utapata kifaduro.kuna mchele wa pakistan umenyooka! Bei yake inaweza hata kufika nusu ya mchele wa kwetu katika soko la dunia,tatizo wenzetu wanapewa ruzuku na serikali ndio maana bei zao ni za chini sana sokoni kulinganisha na za kwetu
Angalia soko,sasa hivi wameagiza mahindi toka mexico nyie mmelala tuKaka mchele at a Kenya unazingua?
TehtehtehAngalia soko,sasa hivi wameagiza mahindi toka mexico nyie mmelala tu
Mtama je?Natafuta ufuta mweupe na kahawa kama uwezo unao inbox
Mwanzoni mwa safari ya Ujasirimali ndo hivyo ilivyo.Halafu niwafundishe jambo. Vijana mnaoingia katika shughuli za kilimo kinachowaghalimu kufanikiwa katika kilimo ni tabia ya kuplay roles zaidi ya moja mtu moja huyo huyo. Wewe ni mkulima kazi yako ni kulima mazao ya standard inayotakiwa basi.
Sasa unakuta mtu mkulima yeye, msafirishaji yeye, mtu wa masoko yeye, bwana shamba yeye, dalali yeye, manager yeye, store keeper yy sasa mwisho wa siku akipiga mavuno mara moja tu kurudia tena hataki hata kusikia anaaacha. Tunakuwa tunafanya kilimo cha kujaribu.
Hivi walishindwa kujua kwamba ungepeleka hayo mazao nchi ingepata fedha ya kigheni na uchumi ungekuwa.Wakati mwingine wafanyakazi sio wote wa serikali wanachukulia mambo kirahisi rahisi tu.''Awana business mindset'' sijui kwanini mitazamo ya baadhi ya wafanyakazi wa umma ni tofauti kabisa na mitazamo ya mfanyakazi wa sekta binafsi au mjasiriamalli, wao kupata mshahara na marupuru na mda wa kuingia na kutoka ndio wanauthamini,kuona umuhimu wa kusaidia jambo lisonge mbele awana kabisa baadhi yao.Changamoto yake kubwa ni urasimu wa Serikali
Nilipata Dili flani la kupeleka Mzigo Mwingi tu Commoro nikakusanya Nguvu za Jamaa zangu Kama wawili tukakusanya Mtaji wetu mdogo tu Kama 20 Million.
Tukashauriwa Tufuate Vibali halali
Tu kaanza kuelekezwa tuanze board of external Trade, huko ikapigwa Danadana twende Chamber of Commerce kule wakatueleza kazi yao ni kutoa Vibali tu tukitaka kujua kitu gani kinaruhusiwa kipi hakiruhusiwi twende Wizara ya Mifugo au Kilimo ndio wenye orodha ya Mazao yanayoruhusiwa kusafirishwa Nje ya Nchi!
Niliwauliza wale Watu wa Chamber of commerce pale Kwny Barabara ya Morogoro na Samora ( PPF House) kwanini hiyo orodha ya vitu vinavyoruhusiwa kwanini wasikae nayo pale kupunguza Urasimu Jibu wanatoa huo ndio utaratibu 'Mzee usilete Ujuaji fuata taratibu'
Tulipofika Wizara ya Kilimo ndio balaaa Urasimu mpaka tukaamue tusafirishe kienyeji
Mkuu vp tena USA ?Huu uzi ulikuwa mzuri sana lakini hakuna hitimisho lililofanyika kurahisisha usafirishaji wa mazao nje ya nchi. Kama kuna mtu alifanikiwa tafadhali atueleze ni hatua zipi alipitia.
Kusafirisha chakula au matunda ni rahisi kama ABC kwa wenzetu na hata ulaya bidhaa nyingi hazina ushuru kabisa yaani 0%Uzi mzuri sana huu. Big up mleta mada kwa kuanzisha mjadala huu. Ku-export mazao, nchi hii ni urasimu tu ndicho kinachowakwamisha wengi. Ubabaishaji mwingi kwenye office za Serikali. Maofisa hawajuwi hata majukumu yao kama mdau alivyochangia hapo juu.
Nadhani kuna haja ya kulipigia kelele suala hili, kwamba kuwe na taasisi MOJA tu ambayo ihusike na utoaji wa vibali na clearance zote kwa mtu anayetaka kuexport bidhaa nje ya nchi.
Mie natafuta mzoefu wa biashara hii ya mazao awe 'mentor' wangu... anipe A to Z jinsi ya kufanya & kuexcel kwenye biashara ya nafaka/mazao kwa soko la hapa hapa nchini.
-Kaveli-
Changamoto yake kubwa ni urasimu wa Serikali
Nilipata Dili flani la kupeleka Mzigo Mwingi tu Commoro nikakusanya Nguvu za Jamaa zangu Kama wawili tukakusanya Mtaji wetu mdogo tu Kama 20 Million.
Tukashauriwa Tufuate Vibali halali
Tu kaanza kuelekezwa tuanze board of external Trade, huko ikapigwa Danadana twende Chamber of Commerce kule wakatueleza kazi yao ni kutoa Vibali tu tukitaka kujua kitu gani kinaruhusiwa kipi hakiruhusiwi twende Wizara ya Mifugo au Kilimo ndio wenye orodha ya Mazao yanayoruhusiwa kusafirishwa Nje ya Nchi!
Niliwauliza wale Watu wa Chamber of commerce pale Kwny Barabara ya Morogoro na Samora ( PPF House) kwanini hiyo orodha ya vitu vinavyoruhusiwa kwanini wasikae nayo pale kupunguza Urasimu Jibu wanatoa huo ndio utaratibu 'Mzee usilete Ujuaji fuata taratibu'
Tulipofika Wizara ya Kilimo ndio balaaa Urasimu mpaka tukaamue tusafirishe kienyeji