Biashara ya Kusaga na Kukoboa: Uzoefu wangu wa miezi 15

Biashara ya Kusaga na Kukoboa: Uzoefu wangu wa miezi 15

Nakushauri ufunge ya umeme.

Ya dizeli ni changamoto sana brother. Hasa kwenye moto ake juu ya mortor. Zinaunguza sana mortor.


Imagine unanunua mortor kwa 1.3m then iungue?! Japo una uwezo wa kuisuka upya kwa 500 hadi 700k
Shukrani Mkuu, unajua changamoto ya Umeme bado ni shida maeneo mengi
 
Ubarikiwe Sana kwa bandiko hili zuri!

Binafsi hapo kwenye sehemu ya mapato sijaelewa vizuri- umechukua unit za umeme 28 zenye thamani ya tshs 10000/ ukazidisha kwa 1000/ ukapata 28000.

Hiyo alfu moja iliyozidishiwa inatokana na nini?
 
Ubarikiwe Sana kwa bandiko hili zuri!

Binafsi hapo kwenye sehemu ya mapato sijaelewa vizuri- umechukua unit za umeme 28 zenye thamani ya tshs 10000/ ukazidisha kwa 1000/ ukapata 28000.

Hiyo alfu moja iliyozidishiwa inatokana na nini?
Unit 1 ya umeme inakulipa sh 1,000; yaani inaleta faida ya 1,000 - 357= 643
 
Hongera sana, kila la kheri mpambanaji.
Ndugu zangu, mwaka jana July 2021 nilinunua mashine ya kusaga na kukoboa na kuifunga Tanga mwezi wa Septemba, 2021.

Mchanganuo wa Vifaa:-

1. Mashine ya Kusaga

Kinu size 75 - 1,200,000
Mortor 30hp - 1,300,000
Starter(On/Off)- 300,000
Pulleys 2 - 100,000
Mikanda 3 - 15,000

2. Kinu cha Kukoboa

Kinu rollers 3 - 1,200,000
Mortor 30hp - 1,300,000
Pulleys 2 - 100,000
Switch - 300,000
Mikanda 3 - 45,000

Vifaa vingine vya umeme:-
1. Main Switch 3Phase - 190,000
2. Socket braker 100A- 60,000
3. Wires, taa, earthrod,clamps, switches - 150,000

Vifaa vya usimikaji mashine
1. Channel/Chasis cha chini (2)- 250,000
2. Cement mifuko 2 - 29,000
3. Mchanga ndoo 30 - 15,000
4. Guta la Kokoto - 30,000
5. Usafiri Guta ( 2,3&4) - 10,000

Ufundi:-
1. Umeme - 200,000
2. Ujenzi/Mechanical - kufitisha vinu chini - 150,000

Gharama ya kufunga umeme 3 phase (jumla) - 1,200,000

Kodi ya frame - 50,000 kwa mwezi.

Ikumbukwe, umeme wa 10,000 unapata units 28.

MAPATO:
(Ukiwa huna mahindi)
Umeme wa 10,0000 = units 28= 28*1,000 = 28,000/=
(Faida 28,000-10,000=18,000)

Umeme wa 100,000, faida 180,000
etc etc.

Kwa kipindi cha miezi 15 niliyofanya kazi, nimetumia units 12,500 sawa na mapato ya sh 12,500,000/=

Hizi ni bei halisi na nimehusika fully mwenyewe kila hatua ya mradi huu mpaka sasa.

USHAURI:

Ukitaka kufungua mashine za kusaga na kukoboa, tafuta mtaji hata wa gunia 5 za kuanzia, maana wateja huenda mashine yenye mahindi, hivyo utauza MAHINDI, PUMBA na UNITS ZA UMEME kwa haraka.

Ikumbukwe, gunia 1 linatoa debe 3 za pumba, na kila debe ni 4, 000 ( bei ya sasa 2022 November)

Sina mtaji wa mahindi. Mahindi naletewa na watu/wateja, mm kwangu faida ni units za umeme zinavyopukutika.

Biashara sijaisajili, sina leseni bado.

Naombeni wazo la namna ya kuweza kukopesheka.
 
Hongera sana mkuu,
Hizi ndio mada za kujadili kwa kweli, zinahamasisha sana watu na kushughulisha akili. Sijajumlisha kujua mtaji kwa ujumla wake ni kiasi gani ila nilichojifunza ni kwamba kwa vile watu wengi sasa wanasaga na kukoboa, unatakiwa kuwa na brand yako, uwe na mahindi yako unakoboa na kusaga, unafanya packaging kabisa.

Tatizo hapo naona ni mtaji ila upo kwenye direction nzuri. Hongera.
 
Hongera sana mkuu,
Hizi ndio mada za kujadili kwa kweli, zinahamasisha sana watu na kushughulisha akili. Sijajumlisha kujua mtaji kwa ujumla wake ni kiasi gani ila nilichojifunza ni kwamba kwa vile watu wengi sasa wanasaga na kukoboa, unatakiwa kuwa na brand yako, uwe na mahindi yako unakoboa na kusaga, unafanya packaging kabisa.

Tatizo hapo naona ni mtaji ila upo kwenye direction nzuri. Hongera.
Kingine nilichokiona sio lazima uwe na mashine.

wewe nunua mahindi,nunua mifuko iliyo chapwa brand yako uliyoisajili kisha anza kuuza mdogo mdogo, ukitafuta soko na wateja

Hizo taratibu nyingine zitafuata, kikubwa kuwa makini na wenye sheria zao
 
Nakushauri ufunge ya umeme.

Ya dizeli ni changamoto sana brother. Hasa kwenye moto ake juu ya mortor. Zinaunguza sana mortor.

Imagine unanunua mortor kwa 1.3m then iungue?! Japo una uwezo wa kuisuka upya kwa 500 hadi 700k
Mashine ya diesel ukifunga huitaji mota koongozi .
 
Mzee sasa unapataje faida...maana naona hapo mara umendika umeme wa 100,000 unapata unit 28, Kisha ikaja ukazidisha kwa buku ukapata 28000 ukatoa kwa 10,000 ukapata 18,000


Faina yako unaihesabu kwenye unit au namna unavyozalisha na kuuza BAada ya kutoa matumizi!?
 
Ndugu zangu, mwaka jana July 2021 nilinunua mashine ya kusaga na kukoboa na kuifunga Tanga mwezi wa Septemba, 2021.

Mchanganuo wa Vifaa:-

1. Mashine ya Kusaga

Kinu size 75 - 1,200,000
Mortor 30hp - 1,300,000
Starter(On/Off)- 300,000
Pulleys 2 - 100,000
Mikanda 3 - 15,000

2. Kinu cha Kukoboa

Kinu rollers 3 - 1,200,000
Mortor 30hp - 1,300,000
Pulleys 2 - 100,000
Switch - 300,000
Mikanda 3 - 45,000

Vifaa vingine vya umeme:-
1. Main Switch 3Phase - 190,000
2. Socket braker 100A- 60,000
3. Wires, taa, earthrod,clamps, switches - 150,000

Vifaa vya usimikaji mashine
1. Channel/Chasis cha chini (2)- 250,000
2. Cement mifuko 2 - 29,000
3. Mchanga ndoo 30 - 15,000
4. Guta la Kokoto - 30,000
5. Usafiri Guta ( 2,3&4) - 10,000

Ufundi:-
1. Umeme - 200,000
2. Ujenzi/Mechanical - kufitisha vinu chini - 150,000

Gharama ya kufunga umeme 3 phase (jumla) - 1,200,000

Kodi ya frame - 50,000 kwa mwezi.

Ikumbukwe, umeme wa 10,000 unapata units 28.

MAPATO:
(Ukiwa huna mahindi)
Umeme wa 10,0000 = units 28= 28*1,000 = 28,000/=
(Faida 28,000-10,000=18,000)

Umeme wa 100,000, faida 180,000
etc etc.

Kwa kipindi cha miezi 15 niliyofanya kazi, nimetumia units 12,500 sawa na mapato ya sh 12,500,000/=

Hizi ni bei halisi na nimehusika fully mwenyewe kila hatua ya mradi huu mpaka sasa.

USHAURI:

Ukitaka kufungua mashine za kusaga na kukoboa, tafuta mtaji hata wa gunia 5 za kuanzia, maana wateja huenda mashine yenye mahindi, hivyo utauza MAHINDI, PUMBA na UNITS ZA UMEME kwa haraka.

Ikumbukwe, gunia 1 linatoa debe 3 za pumba, na kila debe ni 4, 000 ( bei ya sasa 2022 November)

Sina mtaji wa mahindi. Mahindi naletewa na watu/wateja, mm kwangu faida ni units za umeme zinavyopukutika.

Biashara sijaisajili, sina leseni bado.

Naombeni wazo la namna ya kuweza kukopesheka.
Unataka mkopo wa kufanyia nini?.
 
Hongera sana mkuu,
Hizi ndio mada za kujadili kwa kweli, zinahamasisha sana watu na kushughulisha akili. Sijajumlisha kujua mtaji kwa ujumla wake ni kiasi gani ila nilichojifunza ni kwamba kwa vile watu wengi sasa wanasaga na kukoboa, unatakiwa kuwa na brand yako, uwe na mahindi yako unakoboa na kusaga, unafanya packaging kabisa.

Tatizo hapo naona ni mtaji ila upo kwenye direction nzuri. Hongera.
Asante sana kiongozi
 
Mzee sasa unapataje faida...maana naona hapo mara umendika umeme wa 100,000 unapata unit 28, Kisha ikaja ukazidisha kwa buku ukapata 28000 ukatoa kwa 10,000 ukapata 18,000


Faina yako unaihesabu kwenye unit au namna unavyozalisha na kuuza BAada ya kutoa matumizi!?
Umeme kununua unit 1 ni 357/=. Mm nikiifanyia kazi hiyo unit moja, inaingiza 1,000/=, maana yake unit 1 inaleta faida ya 643.

Zikiwa units 100, maana yake utapata faida ya 64,300
 
Back
Top Bottom