Biashara ya Kusaga na Kukoboa: Uzoefu wangu wa miezi 15

Unit 1 ya umeme inakulipa sh 1,000; yaani inaleta faida ya 1,000 - 357= 643
Swala la faida itategemeana na eneo ulilopo kwa huku nilipo unit moja ya umeme itakulipa faida ya kuanzia Tsh 1500-2000 kwa kutegemea na mzigo unao usaga, eg, ukisaga unga wa mahindi tu 1unit itatoa 1500 lla kama utasaga unga wa mhogo, 1unit Itatoa mpaka 2500
 
Hongera sana mdau, hapo segera ndio kwetu, wasalimie michungwani na kiziwa ndago.
siku nikija nitakuja kukusalimia.
 
Nataka kufanya Blanding na Packing!
Tafuta brand yako, gharama kama sikosei ni 150,000,
Then tafuta mwenye stock ya Mahindi, anaehitaji kukobolewa na kutumia brand yako,,
Utamcharge 7000,kukoboa, kusaga na kupack kwenye mifuko, kila junia moja la mahindi,,
Hapo umeme juu yako, vibarua, kila kitu,, yeye atalipa 7000 kwa kila junia la mahindi,
 
Asante sana kwa wazo zuri
 
Ni wapi huko kiongozi?
 
Thread yangu Bora ya December 2022
 
1. Uhaba/ukosefu wa mahindi kutokana na ukame

2. Kukatika kwa umeme mara kwa mara
1.Vipi kuhusu ubora wa mahindi?
2.Gunia moja la kilo 100 kwa wastani linatoa unga kilo kiasi gani?
3.Je ubora wa mahindi unaweza kuamua kiasi cha unga au pumba unachopata?
 
Unit 1 ya umeme inaingiza 1,000. Bei ya kununua unit 1 ni 357.

Maana yake unit 1 faida yake ni 643!
Nadhani wengi wanauliza hiki kipengele kwa sababu umeweka gharama za umeme pekee ilihali kiuhalisia lazima kutakuwa na gharama nyinginezo...hivyo hiyo faida ya 643 unayoisemea itakuwa chini.
 
Nataka kufanya Blanding na Packing!
Achana kabisa na mambo ya mikopo. Jikusanye mdogomdogo tu kisha utapanua mtaji wako. Kuwa mvumilivu. Mambo mazuri huchukua muda kidogo..

Najua unaweza kuwa na shauku ya kutaka sana kukopa na ukaachana na huu ushauri tunaokupa wa kutokopa, ila iwapo Roho wa Mungu atakutembelea ukakubaliana na ushauri wa kutokopa, itakuwa kheri sana kwako.
 
Umeme ndio unaua biashara za watu na kuongeza umaskini kwenye jamii, watu wanajituma lakini serikali yenye monopoly ya umeme ndio shida zote zinaanzia hapo,hii serikali is a big let down na ndio chanzo cha umaskini nchini, pumbaf sana
 
Nadhani wengi wanauliza hiki kipengele kwa sababu umeweka gharama za umeme pekee ilihali kiuhalisia lazima kutakuwa na gharama nyinginezo...hivyo hiyo faida ya 643 unayoisemea itakuwa chini.
Muongozo kama huu:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…