Biashara ya kutengeneza na kuuza "Askrimu" (Ice Lollies)

Hapo hujazungumzia freezer..au zinajigandisha zenyewe?
 
Vifungashio ni vya Aina gani,, na unatengeneza ice cream zile zinazouzwa in form of cone au ni zipi hizo zako
 
Pia unafanyia biashara mkoa gani na namna ya uuzaji wako ni unazungusha mitaani ama unauza vipi.
 
Gharama unazotaaja ni sahihi kabisa ila faida unayosema si kweli maana biashara ina up and down kwahiyo hapo soma nzuri zaidi ni namna ya kuulinda huo mtaji Mdogo wa iceream.
 
Gharama unazotaaja ni sahihi kabisa ila faida unayosema si kweli maana biashara ina up and down kwahiyo hapo soma nzuri zaidi ni namna ya kuulinda huo mtaji Mdogo wa iceream.
My friend, ndo maana nikasema inatemegea na ubunifu wako. Icecream hizo hizo kwa gharama hiyo hiyo ya raw materials mwingine atauza 100 mwingine 200/300. Pia usafi na jinsi gani unatanua soko lako. Kikubwa biashara itoke kwa wakati. Hata biashara ya genge mwingine ataona anayeuza genge hapati faida ila mwingine anasomesha kwasababu ya genge hilohilo. Kikubwa ni kuamua na kua focused. Mimi nawatia moyo mmnaohisi mnaweza kufanya hii kitu inalipa ukiichukulia silias.
 
Vifungashio ni vya Aina gani,, na unatengeneza ice cream zile zinazouzwa in form of cone au ni zipi hizo zako
Mie nipo Dar - Tabata. Vifungashio natumia vya vifuko na vya aina ya vijikombe nanunua k/koo soko dogo kuna maduka ndani yanauza bidhaa zote za icecream, lakini mtu anaweza tumia vifungashio vinavyompa urahisi wa upatikanaji swala tu wateja wako wavielewe si lazima utumie kama navyotumia mie.
 
Pia unafanyia biashara mkoa gani na namna ya uuzaji wako ni unazungusha mitaani ama unauza vipi
Kwasababu nimefanyakazi kubwa kutangaza bidhaa yangu ipo baadhi ya mikutano ikiwa inafanyika naitwa nipeleke na hii ndio hunipa faida haswa maana nawapelekea kwa 300. Kuna wateja wangu spesho wanaweka oda kua wanahitaj kiasi gani,pia nimetafuta masoko maeneo tofaut tofaut napeleka madukani and nina kijana anapeleka shule moja ya sekondari ..hakikisha unatafuta soko eneo ambalo linamkusanyiko wa watu pia ichukulie silias. Usiichukulie kama ni biashara ambayo wateja wako watakua watoto tu tena kwa mia mia, big no!
 
Hapo kwenye ladha huwezi weka ladha tofauti na vanilla?
 
unaweza ..mimi hupendelea tu hiyo vanila
Mkuu kama hautojali elezea kuhusu hii ya Ubuyu,na pia umeonesha ingredients zinazotumika but nimeangalia YouTube naona wanatumia Sana Sana vitu vinaitwa" pure cream na condensed milk" naomba unielekeze ni vitu gani na je ndizo unatumia pia na wewe Katika utengenezaji wako wa ice cream, na vipi kuhusu upatikanaji wake madukani na bei zake.
 
Habari, naomba kujua mchanganuo wa biashara ya Ice cream za Azam ikoje. Ambaye anajua bei ya kununulia kiwandani kwa jumla na bei ya kuuza rejareja, sana sana zile za ukwaju.
 
Yaan askirim zangu zina ubora kila anaezila anasifia! Natengeneza za maziwa zenye ladha mbalimbali km vanilla, strawbery, banana na chocolate pia.. Ni tamu mno!
Naomba kujua please, unatumia maziwa freshi au ya unga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…