Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 6,782
- 14,148
dah,ntafanyia kazi wazo lako,japo natishwa na gharama kubwa za material na umeme kwa hii nchi yetu.Tumia chuma na mbao
niliwai kumiliki vinu vya kusaga na kukoboa lakini umeme ulinitoa K.O nikauza mradi.