Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,154
- 31,246
Leo nilikuwa ninatazama documentary mpya kabisa ya DW imetoka mwezi huu ambapo mwandishi wa habari na camera man wake walizama columbia wakiwa na jeshi la kupambana na biashara za dawa za kulevya kuchukua matukio.
Kule ndipo zao linalimwa milimani na maporini, halafu huko huko linavunwa na kupeleka mahabara ziko huko huko porini. Yani majani 200kg ndiyo yanatoa 1kg cocaine. Likishazalishwa, linasafirishwa kama unga tu wa sembe mpaka town linauzwa kwa wadau ambao nao wanalipeleka mpaka Mexico. Yani 400kg za cocaine zikifika mexico zinauzwa dollar 8 milion yani zaidi ya billion 10 za kitz.
Sasa Mexico ndiyo shida, wao wanaifungua na kuifunga upya katika nusu kilo au 1kg, kwanza inatangualia aluminium foil, halafu wanamalizia na sole tape. Wakivusha 400kg kuingia Marekani inakuwa na thamani ya zaidi ya dollar milion 70, yani zaidi ya billion 150 za kibongo.
Documentary inaonyesha toka kitu kinatoka columbia kinaenda warehouse, kinatolewa warehouse kinapelekwa kwenye boat kwa ajili ya kuelekea Marekani. Hawa ma drug lord hawana mchezo, muda wote wana askari wana ma AK47 na majambia ukijichanganya tu umekwisha. Mwandishi wa habari na crew lake waliamua kuwapa tu exclusive arekodi kila kitu lakini sura zao wamezificha.
Akiwa na askari wa columbia walivamia shamba flani wakaua ring leader na walinzi wake kadhaa. Hii vita sidhani kama wanaweza kuishinda aisee. Jamaa wanatumia kila mbinu kama jeshi kuanzia kuwasiliana kwa codes, na vifaa vya hali ya juu.
Kule ndipo zao linalimwa milimani na maporini, halafu huko huko linavunwa na kupeleka mahabara ziko huko huko porini. Yani majani 200kg ndiyo yanatoa 1kg cocaine. Likishazalishwa, linasafirishwa kama unga tu wa sembe mpaka town linauzwa kwa wadau ambao nao wanalipeleka mpaka Mexico. Yani 400kg za cocaine zikifika mexico zinauzwa dollar 8 milion yani zaidi ya billion 10 za kitz.
Sasa Mexico ndiyo shida, wao wanaifungua na kuifunga upya katika nusu kilo au 1kg, kwanza inatangualia aluminium foil, halafu wanamalizia na sole tape. Wakivusha 400kg kuingia Marekani inakuwa na thamani ya zaidi ya dollar milion 70, yani zaidi ya billion 150 za kibongo.
Documentary inaonyesha toka kitu kinatoka columbia kinaenda warehouse, kinatolewa warehouse kinapelekwa kwenye boat kwa ajili ya kuelekea Marekani. Hawa ma drug lord hawana mchezo, muda wote wana askari wana ma AK47 na majambia ukijichanganya tu umekwisha. Mwandishi wa habari na crew lake waliamua kuwapa tu exclusive arekodi kila kitu lakini sura zao wamezificha.
Akiwa na askari wa columbia walivamia shamba flani wakaua ring leader na walinzi wake kadhaa. Hii vita sidhani kama wanaweza kuishinda aisee. Jamaa wanatumia kila mbinu kama jeshi kuanzia kuwasiliana kwa codes, na vifaa vya hali ya juu.