Biashara ya kuuza dawa za kulevya inalipa sana haitokaa iishe duniani

Biashara ya kuuza dawa za kulevya inalipa sana haitokaa iishe duniani

Yes, it works.

It's scarcity makes it demanding and valuable.


Bila shaka Umeonja unga ndipo ukaandika madudu haya.

By the time it is scarce, valuable and demanded, do you imagine how many zombies due to the drugs you will have??---- you want to create a nation of drug Zombies.
 
SASA kama yale makaburi ya kifahari ya wauza unga wakubwa kule mexico,ina maana serikali ya huko haiyaoni? kama inayaona inashindwa nini kuyabomoa? Makabari yamejengewa vijumba na misalaba juu,jumuiya ya kikristo inashindwaje kuwakemea wauza unga waache kuweka misalaba kwenye makaburi yao?
Ukifuatilia nchi zenye idadi kubwa ya Wakatoliki ndizo zinaongoza kwa hiyo biashara Nchi kama Columbia, Bolivia, Peru, Mexico, Brazil Phillipines. Sijajua ni kwanini
 
Hichi kitu kilimfanya Trump afikirie kujenga ukuta kati ya mexico na marekani ila watu wakamuona chizi. Yani siku hizi wanasafirisha kupitia mashampoo nina wasiwasi bongo yanaingia mengi sana
 
SASA kama yale makaburi ya kifahari ya wauza unga wakubwa kule mexico,ina maana serikali ya huko haiyaoni? kama inayaona inashindwa nini kuyabomoa? Makabari yamejengewa vijumba na misalaba juu,jumuiya ya kikristo inashindwaje kuwakemea wauza unga waache kuweka misalaba kwenye makaburi yao?
Wauza unga wengi wanatoa sana misaada kwa jamii inayowazunguka na sehemu walizokulia so paroko wa kitaa chenu hawezi iukubania misa ukifa wakati kanisa ulijenga, na wanakijiji chenu wataachaje kukupenda wakati ulipeleka umeme, maji, ukajenga shule nk...

Pesa bwana kuikataa kazi sana hata kama inajulikana sio halali wachache sana wanaeza kataa pesa....
 
Biashara ya vitengo hii... Marekani wanatumia taasisi zake za kimataifa kusafirisha hii drugs
Jamaa hajui Hilo sijui !!!

Biashara ya wakubwa wenye dunia yao hiyo na wao ndio wanawawezesha baadhi ya madrug dealer wakubwa but endapo wakitokea madrug dealer hao wakazingua C I A huwa wanawapoteza
 
Nilisoma pia kuhusu heroin..mwanzo ilitumika kama tiba
Kuna madawa flani ya kulevya yanatengenezwa kwa mchanganyiko wa chemical flan na sumu ya kuulia panya ni hatari sana hata watengenezaji wasipo yachanganya sawa wanaweza kufa kwasababu ya ule moshi
 
Can you please specify, the exact department conducts this illegal business..!! I work as the secret service, working on that will be one of dream fulfillment task..!
My PM is open, don’t be afraid






Kidding 😜
 
Bila Shaka hii ni DRUG INC hii sio ? Jamaa wanaonyeshaga kila kitu kuanzia kutengeneza dawa za kulevya kuzipakeji mpk kisafirishaa ni balaaaa
Leo nilikuwa ninatazama documentary mpya kabisa ya DW imetoka mwezi huu ambapo mwandishi wa habari na camera man wake walizama columbia wakiwa na jeshi la kupambana na biashara za dawa za kulevya kuchukua matukio.

Kule ndipo zao linalimwa milimani na maporini, halafu huko huko linavunwa na kupeleka mahabara ziko huko huko porini. Yani majani 200kg ndiyo yanatoa 1kg cocaine. Likishazalishwa, linasafirishwa kama unga tu wa sembe mpaka town linauzwa kwa wadau ambao nao wanalipeleka mpaka Mexico. Yani 400kg za cocaine zikifika mexico zinauzwa dollar 8 milion yani zaidi ya billion 10 za kitz.

Sasa Mexico ndiyo shida, wao wanaifungua na kuifunga upya katika nusu kilo au 1kg, kwanza inatangualia aluminium foil, halafu wanamalizia na sole tape. Wakivusha 400kg kuingia Marekani inakuwa na thamani ya zaidi ya dollar milion 70, yani zaidi ya billion 150 za kibongo.

Documentary inaonyesha toka kitu kinatoka columbia kinaenda warehouse, kinatolewa warehouse kinapelekwa kwenye boat kwa ajili ya kuelekea Marekani. Hawa ma drug lord hawana mchezo, muda wote wana askari wana ma AK47 na majambia ukijichanganya tu umekwisha. Mwandishi wa habari na crew lake waliamua kuwapa tu exclusive arekodi kila kitu lakini sura zao wamezificha.

Akiwa na askari wa columbia walivamia shamba flani wakaua ring leader na walinzi wake kadhaa. Hii vita sidhani kama wanaweza kuishinda aisee. Jamaa wanatumia kila mbinu kama jeshi kuanzia kuwasiliana kwa codes, na vifaa vya hali ya juu.
 
Kuna madawa flani ya kulevya yanatengenezwa kwa mchanganyiko wa chemical flan na sumu ya kuulia panya ni hatari sana hata watengenezaji wasipo yachanganya sawa wanaweza kufa kwasababu ya ule moshi
Kuna ectasy na meth "ice"
Meth inavuruga ubongo vibaya sana
Wengi waliyoivuta ubongo umearibika

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Kuna ectasy na meth "ice"
Meth inavuruga ubongo vibaya sana
Wengi waliyoivuta ubongo umearibika

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Ndiyo hiyo meth, niliona documentary ya kitengenezwa... ila binadamu wanapenda stim sana na kila siku watu wanatafuta jinsi ya kuvuta stim. Nakumbuka kitambo sana tukiwa wadogo tulikuwa tunavuta harufu ya petrol, kwenye tank la gari hatukujua kuwa ni stimu ila tulikuwa twashindana nani bingwa wa kuvuta, unavuta unahisi kichwa kinataka kufumuka.
 
Ndiyo hiyo meth, niliona documentary ya kitengenezwa... ila binadamu wanapenda stim sana na kila siku watu wanatafuta jinsi ya kuvuta stim. Nakumbuka kitambo sana tukiwa wadogo tulikuwa tunavuta harufu ya petrol, kwenye tank la gari hatukujua kuwa ni stimu ila tulikuwa twashindana nani bingwa wa kuvuta, unavuta unahisi kichwa kinataka kufumuka.
Kuna mtu mmja wa karibu namjua alikuwa ana itumia alikuwa ana sniff sana
Ilimvuruga ubongo mpk alipata stroke
Hatari sana

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom