Hakuna kitu kizuri wala kibaya bali ni perception tu. Wakati waafrika wanauzwa kama kuku wakiwa watumwa kwa waafriak wenzao nawazungu lilikuwa jambo la kawaida tu. Yani hata akikuua anasahau kama vile kachinja tu kuku na ataenda kuomba hata akiambiwa ataje dhambi alizotenda hawezi kutaja kumuua mtumwa kama ni dhambi.
Bangi sasa imeanza kuwa legalized, baada ya miaka kadhaa itakuwa jambo la kawaida tu. Sasa la kujiuliza ilikuwaje ikasemekana ni hatari na sasa huo uhatari umeisha vipi? Jibu ni kuwa labda haikuwahi kuwa hatari absi tu ilikuwa perception ya watu.
Cocaine ndo hiyo nayo, kitu cha mmea wa coca. Sijui chochote kuhusu hiki. Ila kuna jamaa aliniambia watu wengi wanaofanya mambo ya ajabu, wanatengeneza matangazo ambayo ukiona mpaka unajiuliza huyu jamaa aliwaza nini, au wana tengeneza mziki wa ajabu au movies hasa watu wa S.A na Marekani huko wengi wanapata imagination hizo wakiwa washa nusa mambo hayo.