Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utumwa bado upo sema umekuwa modernized na kupewa jina lingine. Watu wanauzwa sema hayatumiki maneno ya kuuzwaUzuri na ubaya unakuwepo..ila..ubaya ukizidi uzuri Basi tunasema Hilo Jambo.baya na likifanyika linaleta matokeo hasi
Huo utumwaa ungekuwa Ni Sio mzuri Wala mbaya Mpaka leo wewe ungeuzwa ukalime kahawa huko Marekani..lakini.kwakuwa lilikua Ni baya ndio.maana lilipigwa Vita
Hakuna uzuri Wala ubaya..Kama usemavyo...Je Ukoloni ungekuwa Kama usemavyo watu wangekufa kupigania uhri wa nchi zao..
HILI neno.lako hakuna uzuri Wala ubaya ni perception TU...SIJUI UMELITOA WAPI?
Mimi mpaka nikutane nazo Youtube siku hizi TV siangalii sanaPia National Geographic wana documentaries zinazohusu haya madawa ya kulevya kila siku saa nne usiku (Drug Inc.). Kwa kweli hii ni vita ngumu sana kuja kuitokomeza ni kama haiwezekani.
Pia haohao saa 12 jioni wana documentaries inaonyesha namna wasafirishaji wa hayo madawa wanavyokamatwa katika viwanja vya ndege.
Ukiangalia series ya El chappo utayaona yote hayo, drug lords ni kwere mzeeLeo nilikuwa ninatazama documentary mpya kabisa ya DW imetoka mwezi huu ambapo mwandishi wa habari na camera man wake walizama columbia wakiwa na jeshi la kupambana na biashara za dawa za kulevya kuchukua matukio.
Kule ndipo zao linalimwa milimani na maporini, halafu huko huko linavunwa na kupeleka mahabara ziko huko huko porini. Yani majani 200kg ndiyo yanatoa 1kg cocaine. Likishazalishwa, linasafirishwa kama unga tu wa sembe mpaka town linauzwa kwa wadau ambao nao wanalipeleka mpaka Mexico. Yani 400kg za cocaine zikifika mexico zinauzwa dollar 8 milion yani zaidi ya billion 10 za kitz.
Sasa Mexico ndiyo shida, wao wanaifungua na kuifunga upya katika nusu kilo au 1kg, kwanza inatangualia aluminium foil, halafu wanamalizia na sole tape. Wakivusha 400kg kuingia Marekani inakuwa na thamani ya zaidi ya dollar milion 70, yani zaidi ya billion 150 za kibongo.
Documentary inaonyesha toka kitu kinatoka columbia kinaenda warehouse, kinatolewa warehouse kinapelekwa kwenye boat kwa ajili ya kuelekea Marekani. Hawa ma drug lord hawana mchezo, muda wote wana askari wana ma AK47 na majambia ukijichanganya tu umekwisha. Mwandishi wa habari na crew lake waliamua kuwapa tu exclusive arekodi kila kitu lakini sura zao wamezificha.
Akiwa na askari wa columbia walivamia shamba flani wakaua ring leader na walinzi wake kadhaa. Hii vita sidhani kama wanaweza kuishinda aisee. Jamaa wanatumia kila mbinu kama jeshi kuanzia kuwasiliana kwa codes, na vifaa vya hali ya juu.
iko youtube au? inaitwajeNimeiona hiyo documentary si mchezo mzee
You tube sachi DW documentary on drugs in Colombiaiko youtube au? inaitwaje
Si kweliHata mtoto wa Pablo escobar anasema kuwa baba yake aliwahi kukwambia kuwa anafanya kazi hiyo kwa msaada wa CIA na FBI. Sema ukifika mda wamekuchoka wanakushusha tu ndani ya madakika.