Yes, it works.
It's scarcity makes it demanding and valuable.
Ukifuatilia nchi zenye idadi kubwa ya Wakatoliki ndizo zinaongoza kwa hiyo biashara Nchi kama Columbia, Bolivia, Peru, Mexico, Brazil Phillipines. Sijajua ni kwaniniSASA kama yale makaburi ya kifahari ya wauza unga wakubwa kule mexico,ina maana serikali ya huko haiyaoni? kama inayaona inashindwa nini kuyabomoa? Makabari yamejengewa vijumba na misalaba juu,jumuiya ya kikristo inashindwaje kuwakemea wauza unga waache kuweka misalaba kwenye makaburi yao?
Sleeping ApocalypseIli kutokomeza biashara ya unga ni kulegalize unga utakosa thamani
Wauza unga wengi wanatoa sana misaada kwa jamii inayowazunguka na sehemu walizokulia so paroko wa kitaa chenu hawezi iukubania misa ukifa wakati kanisa ulijenga, na wanakijiji chenu wataachaje kukupenda wakati ulipeleka umeme, maji, ukajenga shule nk...SASA kama yale makaburi ya kifahari ya wauza unga wakubwa kule mexico,ina maana serikali ya huko haiyaoni? kama inayaona inashindwa nini kuyabomoa? Makabari yamejengewa vijumba na misalaba juu,jumuiya ya kikristo inashindwaje kuwakemea wauza unga waache kuweka misalaba kwenye makaburi yao?
Jamaa hajui Hilo sijui !!!Biashara ya vitengo hii... Marekani wanatumia taasisi zake za kimataifa kusafirisha hii drugs
Inatumika pia kwenye matibabu coca inamatumizi yake flani halali
Kuna madawa flani ya kulevya yanatengenezwa kwa mchanganyiko wa chemical flan na sumu ya kuulia panya ni hatari sana hata watengenezaji wasipo yachanganya sawa wanaweza kufa kwasababu ya ule moshiNilisoma pia kuhusu heroin..mwanzo ilitumika kama tiba
Leo nilikuwa ninatazama documentary mpya kabisa ya DW imetoka mwezi huu ambapo mwandishi wa habari na camera man wake walizama columbia wakiwa na jeshi la kupambana na biashara za dawa za kulevya kuchukua matukio.
Kule ndipo zao linalimwa milimani na maporini, halafu huko huko linavunwa na kupeleka mahabara ziko huko huko porini. Yani majani 200kg ndiyo yanatoa 1kg cocaine. Likishazalishwa, linasafirishwa kama unga tu wa sembe mpaka town linauzwa kwa wadau ambao nao wanalipeleka mpaka Mexico. Yani 400kg za cocaine zikifika mexico zinauzwa dollar 8 milion yani zaidi ya billion 10 za kitz.
Sasa Mexico ndiyo shida, wao wanaifungua na kuifunga upya katika nusu kilo au 1kg, kwanza inatangualia aluminium foil, halafu wanamalizia na sole tape. Wakivusha 400kg kuingia Marekani inakuwa na thamani ya zaidi ya dollar milion 70, yani zaidi ya billion 150 za kibongo.
Documentary inaonyesha toka kitu kinatoka columbia kinaenda warehouse, kinatolewa warehouse kinapelekwa kwenye boat kwa ajili ya kuelekea Marekani. Hawa ma drug lord hawana mchezo, muda wote wana askari wana ma AK47 na majambia ukijichanganya tu umekwisha. Mwandishi wa habari na crew lake waliamua kuwapa tu exclusive arekodi kila kitu lakini sura zao wamezificha.
Akiwa na askari wa columbia walivamia shamba flani wakaua ring leader na walinzi wake kadhaa. Hii vita sidhani kama wanaweza kuishinda aisee. Jamaa wanatumia kila mbinu kama jeshi kuanzia kuwasiliana kwa codes, na vifaa vya hali ya juu.
Kuna ectasy na meth "ice"Kuna madawa flani ya kulevya yanatengenezwa kwa mchanganyiko wa chemical flan na sumu ya kuulia panya ni hatari sana hata watengenezaji wasipo yachanganya sawa wanaweza kufa kwasababu ya ule moshi
Ndiyo hiyo meth, niliona documentary ya kitengenezwa... ila binadamu wanapenda stim sana na kila siku watu wanatafuta jinsi ya kuvuta stim. Nakumbuka kitambo sana tukiwa wadogo tulikuwa tunavuta harufu ya petrol, kwenye tank la gari hatukujua kuwa ni stimu ila tulikuwa twashindana nani bingwa wa kuvuta, unavuta unahisi kichwa kinataka kufumuka.Kuna ectasy na meth "ice"
Meth inavuruga ubongo vibaya sana
Wengi waliyoivuta ubongo umearibika
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Na malipo yke utakayokuja kuyaljpa ni makubwa mnoBiashara haramu zinalipa sana
Kuna mtu mmja wa karibu namjua alikuwa ana itumia alikuwa ana sniff sanaNdiyo hiyo meth, niliona documentary ya kitengenezwa... ila binadamu wanapenda stim sana na kila siku watu wanatafuta jinsi ya kuvuta stim. Nakumbuka kitambo sana tukiwa wadogo tulikuwa tunavuta harufu ya petrol, kwenye tank la gari hatukujua kuwa ni stimu ila tulikuwa twashindana nani bingwa wa kuvuta, unavuta unahisi kichwa kinataka kufumuka.
hivi bei yake meth inaendana na cocaine?Kuna mtu mmja wa karibu namjua alikuwa ana itumia alikuwa ana sniff sana
Ilimvuruga ubongo mpk alipata stroke
Hatari sana
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Imezidi kdghivi bei yake meth inaendana na cocaine?