sema meth na cocaine zote stimulant wakati heroine ni depressantImezidi kdg
Ile hatari sana mzee
Hata heroine nayo ikiwa pure kbs ni mbaya sana
Ndomana kna manchi ukikamatwa na heroine kosa lake ni kubwa
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Marehemu pablo escobarAlaumiwe aliyegundua unga..
Hata siyo Pablo, cocaine ipo kabla yake hadi mumies wa egypt kuna ambao wana mabaki ndani ya miili yao ya cocaine. Anyway ni kwamba Pablo alikaribishwa kwenye hiyo biashara akaitake to the next level baada ya kubuni njia ya kuingiza hizo dawa USA kwa mia za ma kg kwa wiki.Marehemu pablo escobar
Hata mtoto wa Pablo escobar anasema kuwa baba yake aliwahi kukwambia kuwa anafanya kazi hiyo kwa msaada wa CIA na FBI. Sema ukifika mda wamekuchoka wanakushusha tu ndani ya madakika.Jamaa hajui Hilo sijui !!!
Biashara ya wakubwa wenye dunia yao hiyo na wao ndio wanawawezesha baadhi ya madrug dealer wakubwa but endapo wakitokea madrug dealer hao wakazingua C I A huwa wanawapoteza
Hamna mwenye hati miliki ya msalaba, hata wewe tumia tuSASA kama yale makaburi ya kifahari ya wauza unga wakubwa kule mexico,ina maana serikali ya huko haiyaoni? kama inayaona inashindwa nini kuyabomoa? Makabari yamejengewa vijumba na misalaba juu,jumuiya ya kikristo inashindwaje kuwakemea wauza unga waache kuweka misalaba kwenye makaburi yao?
Ewaaa hivyo ndio jinsi ambavyo mambo Huwa Yana kwenda ..wakikuchoka Wana Kutoa kafaraHata mtoto wa Pablo escobar anasema kuwa baba yake aliwahi kukwambia kuwa anafanya kazi hiyo kwa msaada wa CIA na FBI. Sema ukifika mda wamekuchoka wanakushusha tu ndani ya madakika.
Kwa iyo chapo katolewa kafaraEwaaa hivyo ndio jinsi ambavyo mambo Huwa Yana kwenda ..wakikuchoka Wana Kutoa kafara
Inaweza kuwa hivyo but Sina evidence ..Kwa iyo chapo katolewa kafara
Uzuri na ubaya unakuwepo..ila..ubaya ukizidi uzuri Basi tunasema Hilo Jambo.baya na likifanyika linaleta matokeo hasiHakuna kitu kizuri wala kibaya bali ni perception tu. Wakati waafrika wanauzwa kama kuku wakiwa watumwa kwa waafriak wenzao nawazungu lilikuwa jambo la kawaida tu. Yani hata akikuua anasahau kama vile kachinja tu kuku na ataenda kuomba hata akiambiwa ataje dhambi alizotenda hawezi kutaja kumuua mtumwa kama ni dhambi.
Bangi sasa imeanza kuwa legalized, baada ya miaka kadhaa itakuwa jambo la kawaida tu. Sasa la kujiuliza ilikuwaje ikasemekana ni hatari na sasa huo uhatari umeisha vipi? Jibu ni kuwa labda haikuwahi kuwa hatari absi tu ilikuwa perception ya watu.
Cocaine ndo hiyo nayo, kitu cha mmea wa coca. Sijui chochote kuhusu hiki. Ila kuna jamaa aliniambia watu wengi wanaofanya mambo ya ajabu, wanatengeneza matangazo ambayo ukiona mpaka unajiuliza huyu jamaa aliwaza nini, au wana tengeneza mziki wa ajabu au movies hasa watu wa S.A na Marekani huko wengi wanapata imagination hizo wakiwa washa nusa mambo hayo.
Hata tumbaku.ipo.legal.but wanasema Ni hatari kwa Afya... Naona hiyo bangi wataweka warning pia...uvute at your own risk..Soon bangi itakuwa Kama tumbaku tu.
Wazee walivuta zamani na akili zilitulia tu
Hapo ndiyo ujuwe kua Dunia inawenyewe, wengine tunaburuzwa tu! Watakuambia ukitaka kwenda kwao nenda Ubalozini kwao kaombe Visa,wakati wao wakitaka kuja kwenu visa wanapewa airport at arrivals!! The World is not fair!!Mbona biashara ya silaha kutoka Marekani na Urusi zinazotumika kuua watu Africa hamuziiti biashara haramu?
Kwani Tanzania haustawi jamani?umoja wa mataifa utasema nini kuhusu mmea huo, bangi wamesema poa tu ilimwe kwa kutengeneza dawa,si ajabu huko mbeleni huo mmea wa cocain nao utaonekana uko freshi tu kwa kutengenezea dawa
Shida hata Kama havipo legal still vipo na upatikana kirahisi kwa wahitajiHata tumbaku.ipo.legal.but wanasema Ni hatari kwa Afya... Naona hiyo bangi wataweka warning pia...uvute at your own risk..
Watu wanao.legalize HiVI vitu...wao wapo kimaslahi zaidi...wanaangalia mifuko.yao itatunaje..wanafadhili research ambazo zipo biased kufanikisha malengo yao.
Watu wanadhani eti Nia yao Ni njema TU....
vitu HiVI muangalie kwa jicho la tatu...sio KILA KITU MNAMEZA TU.