Biashara ya kuuza dawa za kulevya inalipa sana haitokaa iishe duniani

Utumwa bado upo sema umekuwa modernized na kupewa jina lingine. Watu wanauzwa sema hayatumiki maneno ya kuuzwa

Ni perception tu, ndiyo maana kinachoweza kuwa kizuri kwako kinaweza kisiwe kizuri kwa mwingine. Ni kama mila na tamaduni tu, we unaweza ona mila na tamaduni flani za kishenzi mwingine akaona zinafaa.

Ndiyo maana uzuri na ubaya ni perception ya jamii husika.
 
Mimi mpaka nikutane nazo Youtube siku hizi TV siangalii sana
 
Ukiangalia series ya El chappo utayaona yote hayo, drug lords ni kwere mzee
 
poda ita teketeza dunia kama moto ulivyo chakaza sodoma na gomora
 
Mkuu huna connection ya huko mashamban maana mishahara ya laki 5 sithan kama tajenga
 
Hata mtoto wa Pablo escobar anasema kuwa baba yake aliwahi kukwambia kuwa anafanya kazi hiyo kwa msaada wa CIA na FBI. Sema ukifika mda wamekuchoka wanakushusha tu ndani ya madakika.
Si kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…