Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dar es Salaam maana kwa sasa nipo ArushaOwk taja sehemu unapotaka biashara ifanyike
Ndio naomba msaada wenuTunakusikiliza Mangi
Watu wote wa mjini sio local tu mdauUmelenga wateja wa aina gan
Mkuu nipe mawasiliano yakoNafuatilia ingawa Mimi ni mchoma mkaa Njombe. Aliyetayari tunamtumia mikoa ya Dar na kwingineko. Mkaa wetu ni mzito na mzuri.
Njoo inbox mkuuUkiwa tayari karibu tukusupply mkaa kutoka Njombe.
Nitumie namba PM nikuchekiNafuatilia ingawa Mimi ni mchoma mkaa Njombe. Aliyetayari tunamtumia mikoa ya Dar na kwingineko. Mkaa wetu ni mzito na mzuri.
Mkuu naomba unipm nikupe no, sababu naona Pm yangu inamatatizo maana nashindwa kabisa kutuma smsMkuu nipe mawasiliano yako
Inakataa nichek 0688393663Mkuu naomba unipm nikupe no, sababu naona Pm yangu inamatatizo maana nashindwa kabisa kutuma sms
Nataka nipige zote mkuuVipi ya chipsi umeacha?
Mkuu we unajua biashara ya mkaa ina mtaji wa shilingi ngapi?DA KWELI MAISHA MAGUMU KUTOKA CHIPS KULE UNAPOWAPATIAGA MADEMU WA KUSINI NA KWINGINEKO MPAKA BIASHARA YA MKAA?