DOKEZO Biashara ya kuuza mwili imekithiri maeneo ya Singida MC (Mitaa ya Kirima), serikali ifanye kitu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Hakuna haja ya kuboresha umalaya, umalaya ni weakness na anguko la mtu yeyote, huyo Malaya hawezi kuwa mtu yeyote wa thamani mbele ya safari yake ya maisha, imagine Malaya anaweza kuwa raisi kweli? Vitu vilivyoshushwa hadhi na Mungu vijibebe venyewe vitavyojua kujithamisha na sauti za waovu zinaishia shimoni, sisi tunapaswa kuwaonya wajisalimishe mapema kwa kubadilika ili wawe na thamani, kikubwa kama wanajipanga kwenye jamii basi serikali iwafukuze wapeleke uhayawani wao huko club na kwenye mabaa ambako tangu miaka kulishashushwa thamani, hivi nani anataka kuoa Malaya na akawa na ujasiri wa kuishi naye? Na kusimama mbele za watu kwamba mke wangu kazi yake ni Malaya?
 
Picha Je?
 

Ulikuwa ni wewe usitudanganye! Ulikuwa unashuhudia anachomolewa kabla hajamwaga ukiwa wapi? Na uliingia makaburini kufanya nini ukawa unachungulia? Ni vizuri sana ulikomeshwa, tena ungezubaa zaidi ingefyekwa na wembe yote, maana haina mfupa!
 
Tangu nikue nacho amini maadili ni jambo la mtu mmoja si la kikundi.
Kulazimisha maadili liwe jambo la kikundi si sahihi na haijawahi fanikiwa. Warabu wamejitahidi kulazimisha maadili kwa mtutu wa bunduki lakini bado kuna watu wamegoma kufuata maadili ya pamoja ya kiarabu mfano (Mia khalifa malaya wa kiarabu aliekubuhu).
Kwa nini tuwe na maadili sawa wakati sisi ni binadamu tusio fanana ?
Usinilazimishe nacho amini na mimi nisikulazimishe unachoamini.
Kwa nini dini ziwe standard za maadili wakati kuna watu hawana dini.
Maadili mazuri ni yale yamfaayo mtu na hayana madhara kwa mwingine.
Ajabu ni jwamba watoto wasio karibu na vilabu vya malaya au walevi baadae huwa malaya au walevi konkodi !, je nani kawasababishia ?
Jambo la kujiuliza kama tulifundishwa darasani, kanisani na msikitini juu ya maadili mazuri kwa nini tumekengeuka na hatufuati?
Kumbe mtu akikua hujichagulia maadili yake na wala hafuati maadili ya kikundi labda iwe sheria shurutishi, ingawa wapo wanaigiza maadili ya vikundi na katika faragha hufuata maadili yao binafsi.
Wazungu wapo huru sana wazi juy ta maadili. Sisi na warabu ni uongo mwingi wa kuhadaa uma na ku pretend kwingi.
 
Kumbe Rais anapewa mtu msafi kabisa,hakuna malaya anayeweza kua Rais?
Duuh! Clinton na Monica Lewnsk.... sijui ilikuaje?
 
Unashangaa nini Sasa. Je wakale wapi??
 
Kumbe Rais anapewa mtu msafi kabisa,hakuna malaya anayeweza kua Rais?
Duuh! Clinton na Monica Lewnsk.... sijui ilikuaje?
Huoni hiyo ni kashifa? Na siyo sifa, kiongozi hata wa mwili wako wanaangalia sifa njema ulizonazo na uwezo wako wa kujizuia kwenye ubaya au kashifa.
 
Kama ni basi kwa vigezo vyako,sidhani kama niwajuao,walifaa kua viongozi.
Huoni hiyo ni kashifa? Na siyo sifa, kiongozi hata wa mwili wako wanaangalia sifa njema ulizonazo na uwezo wako wa kujizuia kwenye ubaya au kashifa.
 
Hii hali imekuwa gumzo nchi nzima hasa husababishwa na nini?
 
Share location Kwa Google map. Nipo Manyoni kikazi pangu pakavu wiki ya 2 sasa
Duh ,Mwamba hebu pitia hapo ofisi za Mtendaji wa.kata.Manyoni usalimie pisi yangu ,,,inaitwa miss G,, myama mrefu,,mtoto mtamu yuleee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…