Biashara ya Maji yashamiri jijini Dar es Salaam. Maji yanatoka siku tatu halafu yanakatika mwezi mzima

Biashara ya Maji yashamiri jijini Dar es Salaam. Maji yanatoka siku tatu halafu yanakatika mwezi mzima

Mwande na Mndewa

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2021
Posts
1,117
Reaction score
3,153
Napita Kinyerezi watu na ndoo kichwani. Nauliza vipi naambiwa mara ya mwisho maji yalitoka January hadi Leo tar 5 March 2023 hayajatoka.

Maboza yanakimbizana njiani kupelekea watu maji majumbani kwao, nimeuliza wanauza maji shilingi ngapi? Naambiwa wanaanzia kuuza lita 2,000 kwa shilingi 30,000 wasio na matenki wanachanga 30,000 halafu gari inapita kwa waliochanga wanawekewa maji,

Niwakumbushe tu Hayati Rais Magufuli aliwahi kwenda Segerea kuzindua miradi akaelezwa kero ya maji, akatoa siku saba kero ya maji iwe imeisha,maji yakatoka hadi alivyokufa nayo maji yakakatika.

Hili lipo chini ya Dawasa Kinyerezi, sijui viunga vingine vya jiji la Dar es Salaam.
 
Iyo ni miaka 60 ya uhuru. Ila utashangaa awesu na team yake toka mkoa wanafika kukagua upungufu wa maji na budget ya usafiri wao wa zaidi ya billion 5 “magari na mengineyo “
 
Napita Kinyerezi watu na ndoo kichwani. Nauliza vipi naambiwa mara ya mwisho maji yalitoka January hadi Leo tar 5 March 2023 hayajatoka.

Maboza yanakimbizana njiani kupelekea watu maji majumbani kwao, nimeuliza wanauza maji shilingi ngapi? Naambiwa wanaanzia kuuza lita 2,000 kwa shilingi 30,000 wasio na matenki wanachanga 30,000 halafu gari inapita kwa waliochanga wanawekewa maji,

Niwakumbushe tu Hayati Rais Magufuli aliwahi kwenda Segerea kuzindua miradi akaelezwa kero ya maji, akatoa siku saba kero ya maji iwe imeisha,maji yakatoka hadi alivyokufa nayo maji yakakatika.

Hili lipo chini ya Dawasa Kinyerezi, sijui viunga vingine vya jiji la Dar es Salaam.
Biashara ya Maji ilikuwa zaidi ya Mafuta hapa Daaslam. Pale Sinza mitaa ya Super Star sikuhizi sjui mnapaitaje karbia na Mlimani City kulikuwa na Nyumba moja ya mtumishi wa DAWASA ndio ilikuwa kama DEPOT ya Maji malori ya Maji yalikuwa yanapanga foleni kama bandarin malori yanavyofyonza mafuta. Jamaa alikuwa na Ukwasi wa kutisha akilisha Kinondoni nzima. Ahsante JPM ulikata huu mnyororo yule Mhaya akaja kuishi kama shetani. Anyway kukatika kwa UMEME na MAJI ni michongo ya watu wanatafuta namna ya kulamba Asali
 
Biashara ya Maji ilikuwa zaidi ya Mafuta hapa Daaslam. Pale Sinza mitaa ya Super Star sikuhizi sjui mnapaitaje karbia na Mlimani City kulikuwa na Nyumba moja ya mtumishi wa DAWASA ndio ilikuwa kama DEPOT ya Maji malori ya Maji yalikuwa yanapanga foleni kama bandarin malori yanavyofyonza mafuta. Jamaa alikuwa na Ukwasi wa kutisha akilisha Kinondoni nzima. Ahsante JPM ulikata huu mnyororo yule Mhaya akaja kuishi kama shetani. Anyway kukatika kwa UMEME na MAJI ni michongo ya watu wanatafuta namna ya kulamba Asali
Suala la maji jakaya alilimaliza kwa zaidi ya 80% dar kupitilia ruvu chini na juu
 
Napita Kinyerezi watu na ndoo kichwani. Nauliza vipi naambiwa mara ya mwisho maji yalitoka January hadi Leo tar 5 March 2023 hayajatoka.

Maboza yanakimbizana njiani kupelekea watu maji majumbani kwao, nimeuliza wanauza maji shilingi ngapi? Naambiwa wanaanzia kuuza lita 2,000 kwa shilingi 30,000 wasio na matenki wanachanga 30,000 halafu gari inapita kwa waliochanga wanawekewa maji,

Niwakumbushe tu Hayati Rais Magufuli aliwahi kwenda Segerea kuzindua miradi akaelezwa kero ya maji, akatoa siku saba kero ya maji iwe imeisha,maji yakatoka hadi alivyokufa nayo maji yakakatika.

Hili lipo chini ya Dawasa Kinyerezi, sijui viunga vingine vya jiji la Dar es Salaam.
Huku kimara Wala hatujazi maji kwenye majaba,maana yanatoka 24/7...
 
Napita Kinyerezi watu na ndoo kichwani. Nauliza vipi naambiwa mara ya mwisho maji yalitoka January hadi Leo tar 5 March 2023 hayajatoka.

Maboza yanakimbizana njiani kupelekea watu maji majumbani kwao, nimeuliza wanauza maji shilingi ngapi? Naambiwa wanaanzia kuuza lita 2,000 kwa shilingi 30,000 wasio na matenki wanachanga 30,000 halafu gari inapita kwa waliochanga wanawekewa maji,

Niwakumbushe tu Hayati Rais Magufuli aliwahi kwenda Segerea kuzindua miradi akaelezwa kero ya maji, akatoa siku saba kero ya maji iwe imeisha,maji yakatoka hadi alivyokufa nayo maji yakakatika.

Hili lipo chini ya Dawasa Kinyerezi, sijui viunga vingine vya jiji la Dar es Salaam.
Unalalamika kwa kua hujalamba asali wewe 😂
 
Shukrani Ndugu Aweso,Maji yameanza kutoka muda huu hapa Kinyerezi baada ya mwezi toka January, information is power.
 
Napita Kinyerezi watu na ndoo kichwani. Nauliza vipi naambiwa mara ya mwisho maji yalitoka January hadi Leo tar 5 March 2023 hayajatoka.

Maboza yanakimbizana njiani kupelekea watu maji majumbani kwao, nimeuliza wanauza maji shilingi ngapi? Naambiwa wanaanzia kuuza lita 2,000 kwa shilingi 30,000 wasio na matenki wanachanga 30,000 halafu gari inapita kwa waliochanga wanawekewa maji,

Niwakumbushe tu Hayati Rais Magufuli aliwahi kwenda Segerea kuzindua miradi akaelezwa kero ya maji, akatoa siku saba kero ya maji iwe imeisha,maji yakatoka hadi alivyokufa nayo maji yakakatika.

Hili lipo chini ya Dawasa Kinyerezi, sijui viunga vingine vya jiji la Dar es Salaam.
Hiyo shida pia ipo mitaa ya Mbezi Makabe, maji hayatoki, magari ya maji yanapishana tuu kupiga hela. Na magari hayo yanauza maji ya DAWASA. It's weird, watu wanafanya wanavyotaka, hawana utu. Imagine watu wameunganishiwa maji lakini maji hayatoki na wanauziwa maji safi ya DAWASA kwenye magari. This is crazy
 
Poleni
Karibu kwetu kuzuri
 
Back
Top Bottom