Biashara ya Maji yashamiri jijini Dar es Salaam. Maji yanatoka siku tatu halafu yanakatika mwezi mzima

Biashara ya Maji yashamiri jijini Dar es Salaam. Maji yanatoka siku tatu halafu yanakatika mwezi mzima

Nilipitia page flan ya Instagram kumbe magari ya maji yanasajiliwa kwa Tsh 100,000? Yaani hili ni janga. Maskini atakufa tu atake asitake..maana serikali isingetgubutu kuruhusu huu ujinga
 
Halafu eti kuna watu wanawaza bongo ikaisadie congo kupigana na M23 na Rwanda wakati hata kusolve issue ya maji haiwezi licha ya kuwa na vyanzo vya maji kuliko nchi zote Afrika
 
Back
Top Bottom