Biashara ya Mayai inalipa sana

Biashara ya Mayai inalipa sana

Paul dybala

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2023
Posts
524
Reaction score
2,097
Wakuu nataka niache aibu nianze kuuza moyai mjini.

Trei 1 ni 6500. Nikiyachemsha na kuyauza kila trey napata 15000, tuseme kuanzia asubuhi hadi jioni nikauza trey nne, nitakuwa na faida ya Tsh 34000 na hio ni siku moja.

Nikiuza mwezi mzima nitakuwa na tsh 34000 ×30 =1020000 hapo nikitoa gharama za mkaa, maji, chumvi pilipili tuseme 50000 kwa hio nitabakia na tsh 970000.

Naombeni ushauri ni kipi nizingatie nisije kufeli.
 
Wakuu nataka niache aibu ...nianze kuuza moyai mjini

Trei 1 ni 6500,,,nikiyachemsha na kuyauza kila trey napata 15000,..tuseme kuanzia asubuhi hadi jioni nikauza trey nne,.nitakuwa na faida ya 8500×4,..swa na tsh 34000...na hio ni siku moja ...nikiuza mwezi mzima nitakuwa na tsh 34000 ×30 =1020000 hapo nikitoa gharama za mkaa,maji,chumvi pilipili tuseme 50000 kwa hio nitabakia na tsh 970000..

Naombeni ushauri ni kipi nizingatie nisije kufeli.
Trei nne kwa siku kwani una tenda sehemu? Kwenye utafiti wako umeona inawezekana kweli kuuza trei nne au ndio uko na matarajio makubwa sana.
 
Kuna dogo nilikuwa namuhoji yeye anauza kila siku mbili haifiki sa saba mchana
Umeuliza dogo mmoja what if anakudanganya usimuone anapoteza muda au what if yeye ndie anayefanya vizuri zaidi kwenye soko au mwenye bahati. Kila biashara inao watu wanaofanya vizuri sana na wanaofanya vibaya na wenye industrial average. Dar hii kuna bodaboda wanaoingiza 50k kwa siku, na kuna wanaopata 15k wakashukuru Mungu.

Bado hujafanya utafiti na wala hautopata majibu sahihi humu JF. Rudi mtaani chunguza zaidi
 
Sio uuzaji wa mayai kwa kufuga kuku kununua na kuuza kama wakala
Hio ngumu kutoboa, Boni pia anamashamba ya kuku ananunua kwa wafugaji wadogo ili aongezee pale alipopungukiwa. Maana kwenye mayai wanaopanga Bei za mayai ni wazalishaji, sasa ukiwa sio mzalishaji kupata faida nikazi.

Labda uagize kutoka Kenya.
 
Hio ngumu kutoboa, Boni pia anamashamba ya kuku ananunua kwa wafugaji wadogo ili aongezee pale alipopungukiwa. Maana kwenye mayai wanaopanga Bei za mayai ni wazalishaji, sasa ukiwa sio mzalishaji kupata faida nikazi.

Labda uagize kutoka Kenya.
Wengi hawana mashamba ya kuku na wanapiga hiyo biashara kikubwa ni mzunguko wa biashara mkuu
 
U
Umeuliza dogo mmoja what if anakudanganya usimuone anapoteza muda au what if yeye ndie anayefanya vizuri zaidi kwenye soko au mwenye bahati. Kila biashara inao watu wanaofanya vizuri sana na wanaofanya vibaya na wenye industrial average. Dar hii kuna bodaboda wanaoingiza 50k kwa siku, na kuna wanaopata 15k wakashukuru Mungu.

Bado hujafanya utafiti na wala hautopata majibu sahihi humu JF. Rudi mtaani chunguza zaidi
Umeelezea vizuri sana
 
Back
Top Bottom