Paul dybala
JF-Expert Member
- Jul 30, 2023
- 524
- 2,097
Wakuu nataka niache aibu nianze kuuza moyai mjini.
Trei 1 ni 6500. Nikiyachemsha na kuyauza kila trey napata 15000, tuseme kuanzia asubuhi hadi jioni nikauza trey nne, nitakuwa na faida ya Tsh 34000 na hio ni siku moja.
Nikiuza mwezi mzima nitakuwa na tsh 34000 ×30 =1020000 hapo nikitoa gharama za mkaa, maji, chumvi pilipili tuseme 50000 kwa hio nitabakia na tsh 970000.
Naombeni ushauri ni kipi nizingatie nisije kufeli.
Trei 1 ni 6500. Nikiyachemsha na kuyauza kila trey napata 15000, tuseme kuanzia asubuhi hadi jioni nikauza trey nne, nitakuwa na faida ya Tsh 34000 na hio ni siku moja.
Nikiuza mwezi mzima nitakuwa na tsh 34000 ×30 =1020000 hapo nikitoa gharama za mkaa, maji, chumvi pilipili tuseme 50000 kwa hio nitabakia na tsh 970000.
Naombeni ushauri ni kipi nizingatie nisije kufeli.