Agiza Express
Member
- Sep 26, 2022
- 52
- 119
Anza kwanza biashara ndio utapata majibu yote ya maswali yako, ukiuliza sana hutafanya kitu maana kila mtu ana mtazamo wake na uzoefu wake tofauti ambapo mitazamo yao haikuzuii wewe kufanikiwa wala wewe kufeli.