Governor of Bettors-GB
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 10,568
- 9,710
Hahahaha, aiseeNdugu zako kwanini usiwape hiyo idea
Hapo umemtaiti vilivyoHebu fafanua kidogo. Kila wiki milioni mbili, zinapatikana vipi? Inachukua muda gani kuleta mzigo kutoka huko Mbinga hadi Dar, na muda gani kumaliza mzigo?
Kisima hiyo Chain saw unakuwa unaikodisha au unafanyaje mkuu? Au itakubidi ununue cubic meters za mbao uanze kupasua? Naomba ufafanuzi tafadhali.Hii kitu inawezekana kabisa wala haiitaji ubishi ila isipokuwa inabidi uwe na teamwork ya uhakika kwenye assembling ya mzigo.
Biashara ya mbao inalipa sana kama una uhakika wa soko.
Binafsi nilishawahi kujihusisha na uchakataji wa mbao (hardwood) huko maporini kwa kutumia chainsaw. Naijua vizuri kazi hii inalipa sana. Nafikiria siku moja kuirudia. Ukiwa na chainsaw huko pori kuingiza 300k(off cost) kwa siku ni issue ya kawaida sana.
Kuna uwezekano mkubwa kabisa anaemiriki semi trailer akazidiwa kipato cha siku na mmriki wa chainsaw moja tu yenye gharama ya tsh1,300k!
Huamini, basi potezea!
Mkuu tatizo watu wanasahau kuwa nchi yetu bado bikra katika nyanja nyingi sana, kila kitu ni fursa hapa kwetu the thing is to know how to explore em and extract money from within!Kisima hiyo Chain saw unakuwa unaikodisha au unafanyaje mkuu? Au itakubidi ununue cubic meters za mbao uanze kupasua? Naomba ufafanuzi tafadhali.
Mkuu tatizo watu wanasahau kuwa nchi yetu bado bikra katika nyanja nyingi sana, kila kitu ni fursa hapa kwetu the thing is to know how to explore em and extract money from within!
Tunayo mapori mengi sana nchi hii yenye miti ya thamani kupindukia.
Kuna vijiji bado vina miti ya asili kama mivule, mininga, mikomba, mikangazi, mikarati, mipilipili, mitondoro, miseni etc yote ni kwajili ya matumizi ya fenicha mbalimbali majumbani mwetu.
Hapa mkoani morogoro miti ya miembe inazidi kutafunwa kila iitwapo leo shehena za magogo zinapakiwa kwenda uchina lakini Maghembe ameona nyani tu!
Mkuu nenda wilayani mathalani kilosa; utapewa muongozo wa kupata kibali cha kuvuna miti kutoka kijiji husika.
Then rudi dar kujua soko na dealers wa mbao ambao wanaweza kuja kuchukua huko kijijini.
Simple!
Asante mkuu japo umekuwa na maelezo ya jumla ninaomba kama unaweza kutusaidia breakdown ya process na cost zikoje. Kwa mfano cost za vibali, mafundi, kununua miti n.kMkuu tatizo watu wanasahau kuwa nchi yetu bado bikra katika nyanja nyingi sana, kila kitu ni fursa hapa kwetu the thing is to know how to explore em and extract money from within!
Tunayo mapori mengi sana nchi hii yenye miti ya thamani kupindukia.
Kuna vijiji bado vina miti ya asili kama mivule, mininga, mikomba, mikangazi, mikarati, mipilipili, mitondoro, miseni etc yote ni kwajili ya matumizi ya fenicha mbalimbali majumbani mwetu.
Hapa mkoani morogoro miti ya miembe inazidi kutafunwa kila iitwapo leo shehena za magogo zinapakiwa kwenda uchina lakini Maghembe ameona nyani tu!
Mkuu nenda wilayani mathalani kilosa; utapewa muongozo wa kupata kibali cha kuvuna miti kutoka kijiji husika.
Then rudi dar kujua soko na dealers wa mbao ambao wanaweza kuja kuchukua huko kijijini.
Simple!
Mkuu kuna mtu namdai anataka kuuza shamba lake huko mafinga ni ekari 2. Kama sikosei lina miti miaka sita kwa maelezo yake. Je, unaweza kusaidia soko?Ni kweli najishughulisha sana na hii project, kwenye hii project kumeingia vibaka, tena wengine wanapata hata nafasi za wazi za kupiga wasiojua. Hata mimi nimeshapigwa, kwa hiyo najua. Sasa hivi usikubali kununua shamba la familia bila kupata document ya kikao cha familia husika. Ukisikia shamba la miti linauzwa inabidi uchunguze sana, unaweza kuta muuzaji analiuza sababu lina mgogoro ambao wewe hutauona mapema, shamba la hivyo inabidi utafute ushahidi wa kutosha, au lilikosewa kuoteshwa,au uvunaji wake utakuwa pasua kichwa nk. Ukisikia hili shamba linauzwa na muuzaji anashida sana, fungua macho.
Mashamba yanayouzwa na vijiji achana nayo, yanasumbua sana. Usikwepe kulipa ushuru wa kijiji, kisha chukua pay slip, kila kitu kifanyike ofisini mchana kweupe, na malipo kama ni hela nyingi, pitishia benki.
Naweza kuwasaidia kupata mashamba ya kuotesha miti kwa bei nzuri sababu nafahamu yalipo na mimi nipo hapo, naweza kuwasaidia kupata mashamba yenye miti tayari ( Mufindi/Kilolo/Njombe) katika maeneo nilikootesha mimi, sababu wauzaji wa mashamba ktk vijiji niliko walau naweza kupata taarifa sahihi.
karibuni.
Mkuu mimi pia mpandajinwa miti Njombe naomba uni add kwenye group lenu la upandaji miti kwasasa nipo mbali na nchi ila nina muwakilishi wangu ambaye ananipandia na kunisaidia mashamba uko Njombe, natanguliza shukrani za dhati, msimu80@gmail.comKwa sasa nafanya coordination ya upandaji miti kwa wadau 410, wengine wamo humu na wengine wako nje ya jf. Msimu huu pekee tumeotesha miche milioni tatu na ushee, tumeotesha/nimesimamia kuotesha pines na mlingoti katika wilaya za Mufindi, Kilolo,Njombe na Madaba. Bei ya chini bila kupita kwa dalali ni Tsh 70,000/ kwa eka katika maeneo yasiyo na miundo mbinu. Na maeneo yenye miundombinu bei inafika Tsh 120,000/ kwa eka. Miche na manpower naweza kukusaidia kama tunavyosaidiana ktk group letu.
Nitakutumia mwaliko kupitia mail yako yao.Mkuu mimi pia mpandajinwa miti Njombe naomba uni add kwenye group lenu la upandaji miti kwasasa nipo mbali na nchi ila nina muwakilishi wangu ambaye ananipandia na kunisaidia mashamba uko Njombe,natanguliza shukrani za dhati, msimu80@gmail.com
Naweza kukutafutia soko fasta, lakini hujasema ni kijiji gani mkuu.Mkuu kuna mtu namdai anataka kuuza shamba lake huko mafinga ni ekari 2,kama sikosei lina miti miaka sita kwa maelezo yake ,je unnaweza kusaidia soko!?
Nimepanda miti 100 wiki jana, kila mche nimenunua sh 300 bei ya jumla.Ninashukuru sana kwa hii topic, hata mimi nipo interested sana na kupanda miti na ni idea ya muda sasa, issue kwangu ni namna ya kuanza especially kupata shamba kwa ajili ya kupanda. Ningeomba kupata japo idea kama ninaweza kupata eneo huko njombe na kwingineko ukizingatia mimi ninaishi dar. Na price inakuwaje, pia gharama za miche kwa sasa ni kiasi gani na kuotesha plus kutunza. Please please mwenye data ninaomba
Mkuu Malila umepanda pia muarobaini?Miarobaini inatoa mbao nzuri sana. Sasa kama mnazi unachongwa mbao, itakuwa muarobaini. Waulize mafundi fenicha mjini Dar wakuambie miguu ya makochi na vitanda iliyobora kabisa wanachonga mti gani.