Biashara ya Mbao na Miti: Fahamu Uendeshaji, Faida na Changamoto zake

Biashara ya Mbao na Miti: Fahamu Uendeshaji, Faida na Changamoto zake

Kwa mwenye mtaji wa mil 8 hadi kumi unaweza kufanya biashara moja ambayo faida yake ni mil 2 kila wiki. Ila inahitaji ufatiliaji.

Biashara hiyo ni kuchukua mbao huku Mbinga na kuleta Dsm. Mimi na my brother tunafanya share. Inalipa kwa kweli..
Mkuu unaweza kufafanua zaidi kuhusu hii biashara?
 
Huu utani sasa, 2m kwa wiki kwa mtaji wa 8m
Hahaha maana kama wewe na brother wako mmeshare mngekuwa mbali wala hamuhitaji tena mti wa kusharea nae.

Atapigwa mtu, lazima, inaaman mtaji wa 8m kwa mwezi unaingiza 8m, hahahahahah.
 
Yaani ndani ya mwezi 1 usharudisha mtaji wako?

Hiyo biashara imekuwa Ngada.
Mmmmh mbinga naijua vzr mbao hazipo pale mjini kwa faida sijui ila kwa muda yani kila wiki utoe mzigo sio kweli mzigo utoke muda gani shamba na uanze safari ya Dar jipange vizuri kaka,
 
Mmmmh mbinga naijua vzr mbao hazipo pale mjini kwa faida sijui ila kwa muda yani kila wiki utoe mzigo sio kweli mzigo utoke muda gani shamba na uanze safari ya Dat jipange vzr kaka
Nina jamaa yangu yuko iringa kukusanya mzigo. Imepita miezi sasa hajarejea DSM! Naweza kusema hiki alichokiandika mianzisha Uzi. hata kwenye ndoto hakiwezekani!
 
Nina jamaa yangu yuko iringa kukusanya mzigo. Imepita miezi sasa hajarejea DSM! Naweza kusema hiki alichokiandika mianzisha Uzi...hata kwenye ndoto hakiwezekani!

Nilipousoma huu uzi haraka niliwaza Songea nikawaza ile km 100 ya kwenda mbinga nikawaza nipo mbinga mjini labda tufanye pale Mbuyula mbao utazitoa wapi ili kila wiki uwe Dar yani hata kwa wiki 2 sio kweli labda aje afafanue zaidi.
 
Nilipousoma huu uzi haraka niliwaza Songea nikawaza ile km 100 ya kwenda mbinga nikawaza nipo mbinga mjini labda tufanye pale Mbuyula mbao utazitoa wapi ili kila wiki uwe Dar yani hata kwa wiki 2 sio kweli labda aje afafanue zaidi
Labda inaweza kuwezekana endapo utakuwa na watu kule kule wa kukusanyia mzigo lkn sio kwa mtaji wa 8-10ml
 
Huu utani sasa, 2m kwa wiki kwa mtaji wa 8m
Hahaha maana kama wewe na brother wako mmeshare mngekuwa mbali wala hamuhitaji tena mti wa kusharea nae.

Atapigwa mtu,lazima,inaaman mtaji wa 8m kwa mwezi unaingiza 8m,hahahahahah
Labda inaweza kuwezekana endapo utakuwa na watu kule kule wa kukusanyia mzigo lkn sio kwa mtaji wa 8-10ml

KUKODI SEMI KUTOKA RUVUMA MBINGA HADI DAR NI MIL.1.8, UNANUNUA MBAO 2X6 PC 1000 @5000 NA 2X4 PC 500@4000 KIBALI NI LAKI 2.2O JUMLA.
 
Nilipousoma huu uzi haraka niliwaza Songea nikawaza ile km 100 ya kwenda mbinga nikawaza nipo mbinga mjini labda tufanye pale Mbuyula mbao utazitoa wapi ili kila wiki uwe Dar yani hata kwa wiki 2 sio kweli labda aje afafanue zaidi
HAHAAA TEMBEA UONE
 
Hii kitu inawezekana kabisa wala haiitaji ubishi ila isipokuwa inabidi uwe na teamwork ya uhakika kwenye assembling ya mzigo.

Biashara ya mbao inalipa sana kama una uhakika wa soko.

Binafsi nilishawahi kujihusisha na uchakataji wa mbao(hardwood) huko maporini kwa kutumia chainsaw. Naijua vizuri kazi hii inalipa sana. Nafikiria siku moja kuirudia. Ukiwa na chainsaw huko pori kuingiza 300k(off cost) kwa siku ni issue ya kawaida sana.

Kuna uwezekano mkubwa kabisa anaemiriki semi trailer akazidiwa kipato cha siku na mmriki wa chainsaw moja tu yenye gharama ya tsh1,300k!

Huamini, basi potezea!
 
Hii kitu inawezekana kabisa wala haiitaji ubishi ila isipokuwa inabidi uwe na teamwork ya uhakika kwenye assembling ya mzigo.

Biashara ya mbao inalipa sana kama una uhakika wa soko.

Binafsi nilishawahi kujihusisha na uchakataji wa mbao (hardwood) huko maporini kwa kutumia chainsaw. Naijua vizuri kazi hii inalipa sana. Nafikiria siku moja kuirudia. Ukiwa na chainsaw huko pori kuingiza 300k (off cost) kwa siku ni issue ya kawaida sana.

Kuna uwezekano mkubwa kabisa anaemiriki semi trailer akazidiwa kipato cha siku na mmriki wa chainsaw moja tu yenye gharama ya tsh1,300k!

Huamini, basi potezea!
Aisee,mado show inaendelea. Mmiliki wa Semi Trailer anazidiwa kipato na mwenye msumeno?
Hayaaa, kazzzi kweli
 
Aisee,mado show inaendelea.
Mmiliki wa Semi Trailer anazidiwa kipato na mwenye msumeno?
Hayaaa, kazzzi kweli
Mkuu we mgumu wa kuelewa eee!!

Just simple analysis:

Kwa opareta mzoefu kwa siku ni kawaida sana kulala na pieces 100 za mbao ya 2*6 ft9 ambayo porini ni tsh10k bila zengwe. Cost ya hiyo shehena haizidi wala haifiki tsh150k.

Nakuachia ufanye calculations mwenyewe then multiply by 25days only in a month. Ukimaliza kokotoa mapato ya huyo mmiriki wa semi bila kusahau delaying time(days)/month deduct cost/month in running that kinda business!!

Mkuu tambaa nayo vzr hiyo hesabu then leta mrejesho hapa.

NB weka hesabu halisi ya pato la semi siyo habari za vijiweni kama alizowahi kuropoka "Maige kwenye ile scandal"

Tanzania ina opportunities lukuki, usijilimit kujua. Fuatilia kwanza ndo u argue.
 
Back
Top Bottom