Biashara ya Mbao na Miti: Fahamu Uendeshaji, Faida na Changamoto zake

Biashara ya Mbao na Miti: Fahamu Uendeshaji, Faida na Changamoto zake

Kwa sasa nafanya coordination ya upandaji miti kwa wadau 410, wengine wamo humu na wengine wako nje ya jf. Msimu huu pekee tumeotesha miche milioni tatu na ushee, tumeotesha/nimesimamia kuotesha pines na mlingoti katika wilaya za Mufindi, Kilolo,Njombe na Madaba. Bei ya chini bila kupita kwa dalali ni Tsh 70,000/ kwa eka katika maeneo yasiyo na miundo mbinu. Na maeneo yenye miundombinu bei inafika Tsh 120,000/ kwa eka. Miche na manpower naweza kukusaidia kama tunavyosaidiana ktk group letu.

Shukrani kwa mrejesho wa haraka mkuu, naomba usinichoke kwa maswali mengi. Unweza kutuwekea vigezo vinavyomfanya mtu kupokelewa kwenye hiyo group unayo coordinate? Na kama inawezekana inaendeshwaje? Natanguliza shukrani za dhati Malila
 
Mkuu malila mi napenda sana kilimo hasa kuinvest kwenye miti kwa kuwa ni ndoto yangu
 
Niko kwenye taasisi inayoshughulika na uendelezaji wa misitu Tanzania na ofisi yetu iko Iringa. Ni taasisi isiyotengeneza faida na tunajenga uwezo wa watu kuanzisha mashamba yaliyo bora. Tuna mbegu zilizo bora na zinazokuwa haraka. Tumeanzisha mashamba darasa kwaajili ya watu kujifunza sehemu mbali mbali nyanda za juu kusini, shamba darasa kubwa likiwa pale Kisolanza kabla ya kufika Mafinga.

Tunaingiza mbegu toka Zimbabwe na Africa kusini wakati huo tukifanya mipango ya kuanzisha seed orchards hapa nchini ili nchi isiendelee kutegemea mbegu za aina hiyo toka nje ya nchi. Ukiwa interested zaidi kwaajili ya ushauri, linkage na assistance, ni PM nikupe namba yangu
 
Cypresses kwa kawaida zinachukua muda mrefu kidogo. Pines watu wanaweza kuvuna zikiwa na miaka hata kumi lakini kwa kweli ni vizuri kuvumilia kidogo angalau ifikie miaka kama 15 hivi kwani hapo kipato chake kinaweza kuwa maradufu. Sina uhakika na hali ya hewa ya Moshi kama Pines zinastawi vizuri.
Ukiangalia tiki na pine zote utauza kwa miaka 15. Pine utauza 20,000 na tiki had I milioni moja (hata kama ni robo yake). Hizi ni data toka kwa wachangiaji. Tatizo tiki ni gharama za awali has a miaka 5 ya kwanza. Unahitaji mtaji ila unalia kivulini. Unaweza kulima eneo do go LA tiki likalipa zaidi. Shida ni kupata ardhi ya kutosha.
 
Malila plz naitaji uniunganishe kwenye group lenu nipate mwanga kuhusu miti 0654501468
nitumie e mail address yako nikuunganishe, kujiunga ni wewe kuwa na shamba la miti karibu na group letu.
 
Mkuu malila mi napenda sana kilimo hasa kuinvest kwenye miti kwa kuwa ni ndoto yangu naomba mniadd kwenye ilo group japo bado nakusanya capital najua nikiwa kwenye group nitapa mwelekeo mzuri na hamasa kutoka kwenu>> 0715244135
Nipe e mail address yako ili uunganishwe kwa group yetu.
 
Mkuu malila mi napenda sana kilimo hasa kuinvest kwenye miti kwa kuwa ni ndoto yangu naomba mniadd kwenye ilo group japo bado nakusanya capital

Group letu halina mkubwa wala mdogo, mtoto wala mzee, maskini wala tajiri, tuko pamoja sana. Mwenye idadi ndogo ana eka mbili na mwenye eneo kubwa ana eka 150 za pamoja. Mwaka jana tumetimiza miaka kumi tangu tuanze, na mwenye umri mdogo ana miaka saba sasa hivi. Wajanja wajanja kwenye group letu hawatakiwi. Tupo watu wa dini zote. Karibu.
 
Kwa mwenye mtaji wa mil 8 hadi kumi unaweza kufanya biashara moja ambayo faida yake ni mil 2 kila wiki. Ila inahitaji ufatiliaji.

Biashara hiyo ni kuchukua mbao huku Mbinga na kuleta Dsm. Mimi na my brother tunafanya share. Inalipa kwa kweli.
 
Kwa mwenye mtaji wa mil 8 hadi kumi unaweza kufanya biashara moja ambayo faida yake ni mil 2 kila wiki. Ila inaitaji ufatiliaji .biashara hiyo ni kuchukuwa mbao huku mbinga na kuleta dsm.me na my brother tunafanya shair.inalipa kwa kweli
na vibali, au magumashi
 
Kwa mwenye mtaji wa mil 8 hadi kumi unaweza kufanya biashara moja ambayo faida yake ni mil 2 kila wiki. Ila inaitaji ufatiliaji .biashara hiyo ni kuchukuwa mbao huku mbinga na kuleta dsm.me na my brother tunafanya shair.inalipa kwa kweli
Hebu fafanua kidogo. Kila wiki milioni mbili, zinapatikana vipi? Inachukua muda gani kuleta mzigo kutoka huko Mbinga hadi Dar, na muda gani kumaliza mzigo?
 
Hebu fafanua kidogo. Kila wiki milioni mbili, zinapatikana vipi? Inachukua muda gani kuleta mzigo kutoka huko Mbinga hadi Dar, na muda gani kumaliza mzigo?
Na hata hao wateja wanapatikana wapi n.k. mie nataka kufanya nimetamani nitaku pm, ila muhimu iwe ya halali na vibali n.k.
 
Na hata hao wateja wanapatikana wapi n.k. mie nataka kufanya nimetamani nitaku pm, ila muhimu iwe ya halali na vibali n.k.
Too good to be true. Ndani ya wiki uwe ushaleta mzigo kutoka source,umeuza na umepata faida....sijui.
 
Mtu anaanzisha uzi halafu haweki maelezo ya kutosha anaishia kimyakimya.
Angalieni msije mkapigwa mitaji yenu, ooh
 
Malila embu nifanyie hayo maujanja na mimi nipate kuungwa kwenye hilo group email:matagejulius@gmail.com
#: 0653-284-788
 
Back
Top Bottom