Pilato 007
JF-Expert Member
- Sep 6, 2017
- 447
- 470
Ungemuuliza kwanza ni mbao za aina gani!?Wewe bila seed capital ya 50million hujauza mbao ....labda mtaji huo uuze kuni
Je, soko lake amengea wapi na wakina nani!? Mbao atachukulia wapi!?
Hapo ungeweza kujua je mtaji wake unatosha au laah