Biashara ya mchele Morogoro, Shinyanga

Biashara ya mchele Morogoro, Shinyanga

Wakulima wa mpunga waskuma
Hao hao ndo wamenda ifakara kuwaamsha hao wavivu huko
Best mchele ni shinyanga
UNATAKA MCHELE AMA MPUNGA?
Mpunga lazma ufaham kua kuna majina ya mbegu
Mchele wenye mchanga. Ni mambo ya kale hayo mkuu walikua wakivunia mpunga chini pili mashine zilikua sio
Sasa hivi kuna mashine best mchele hauzwi hadi upigwe na polish
 
Wakulima wa mpunga waskuma
Hao hao ndo wamenda ifakara kuwaamsha hao wavivu huko
Best mchele ni shinyanga
UNATAKA MCHELE AMA MPUNGA?
Mpunga lazma ufaham kua kuna majina ya mbegu
Mchele wenye mchanga. Ni mambo ya kale hayo mkuu walikua wakivunia mpunga chini pili mashine zilikua sio
Sasa hivi kuna mashine best mchele hauzwi hadi upigwe na polish
Hahaha polish mkuu!

Michele unapakwa mafuta ya kula ili usipauke
 
Hahaha polish mkuu!

Michele unapakwa mafuta ya kula ili usipauke

Doohhh...pole kumbe na humu kuna vilaza
Mashine za kisasa haziukobowi mpunga
Isipokua zinumenya mpunga sasa ili mchele usikatikekatike huo mpunga unalowanishwa kwa maji (water vapour)ndio unamenywa baada ya hapo lazma upite ktk Polishing machines bada ya hapo ndo unatofautishwa mchele grade one na two
Mashine za zamani mpunga lazma uwanikwe kwanza ktk jua ili ukauke zaidi ndo ukobolewe vingenevyo utavunjikavunjika na kua chenga
KAMA UNA SWALI MKUU ULIZA
 
Wakulima wa mpunga waskuma
Hao hao ndo wamenda ifakara kuwaamsha hao wavivu huko
Best mchele ni shinyanga
UNATAKA MCHELE AMA MPUNGA?
Mpunga lazma ufaham kua kuna majina ya mbegu
Mchele wenye mchanga. Ni mambo ya kale hayo mkuu walikua wakivunia mpunga chini pili mashine zilikua sio
Sasa hivi kuna mashine best mchele hauzwi hadi upigwe na polish

mimi nahitaji mchele wa wa shy vipi bei zzipoje???
 
Doohhh...pole kumbe na humu kuna vilaza
Mashine za kisasa haziukobowi mpunga
Isipokua zinumenya mpunga sasa ili mchele usikatikekatike huo mpunga unalowanishwa kwa maji (water vapour)ndio unamenywa baada ya hapo lazma upite ktk Polishing machines bada ya hapo ndo unatofautishwa mchele grade one na two
Mashine za zamani mpunga lazma uwanikwe kwanza ktk jua ili ukauke zaidi ndo ukobolewe vingenevyo utavunjikavunjika na kua chenga
KAMA UNA SWALI MKUU ULIZA
Kwa uandishi huu,I hope we ndo kilaza
 
Mwaka huu mchele upo juu kwa maeneo ya huku
Kutokana na huu msimu haukua mzuri
Hawakuivisha mwingi
 
Nahitaji kununua mpunga popote Tanzania ila uwe na bei ndogo yaani chini ya 40,000 gunia
 
Sijafananisha na mpunga wa mbeya,
Alafu kauliza kati morogoro na shinyanga wapi kuna mpunga mzuri mm nimejibu morogoro kuna mpunga mzuri
Kosa langu hapo lipo wapi hapo?
Hata hivyo mwambie mpunga wa mbeya haupati mpunga wa kyela kwa radha na ubora
 
Doohhh...pole kumbe na humu kuna vilaza
Mashine za kisasa haziukobowi mpunga
Isipokua zinumenya mpunga sasa ili mchele usikatikekatike huo mpunga unalowanishwa kwa maji (water vapour)ndio unamenywa baada ya hapo lazma upite ktk Polishing machines bada ya hapo ndo unatofautishwa mchele grade one na two
Mashine za zamani mpunga lazma uwanikwe kwanza ktk jua ili ukauke zaidi ndo ukobolewe vingenevyo utavunjikavunjika na kua chenga
KAMA UNA SWALI MKUU ULIZA
hizo mashine za kumenya mpunga ndo nazitafuta hizo,naweza kuipata Sido?
 
Mkuu stickvibration hizo mashine za kumenya na polish bei gani? zinapatikana wapi?
 
Nahitaji mchele wa Mbeya grade A kwa bei nafuu,kuanzia tani moja
 
Back
Top Bottom