fadtanji
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 767
- 998
Mchopeko ni mchele unaotokana na mpunga uliochemshwa, kuanikwa na kukobolewa, zamani ilikuwa inafanywa sana hiyo lakini siku hizi sio sana watu hawana muda ndio maana hata pepeta sio nyingi kama zamani.Ukifika ifakara nunua mchele unaoitwa mchopeko,,ni ndio balaa haswa,,ladha,haruf ila bei nadhan ipo juu kiliko aina nyingine...kila la heri