Mchele hauna ushuru kmWakuu tujuzane bei ya kusafirisha mchele kutoka Kyera mpaka Dar (Nauli). Na kiasi cha ushuru wa barabarani ni sh ngapi?
okey kumbe.. mwenye kujua gharama za kusafirisha Tani kumi atujuze wakuu..! average cost! sharing is caring!Mchele hauna ushuru km
Labda kwenye usafiri hapo
Bei 65,000/= hadi sabini gunia la debe 7Tupe mrejesho wa bei tafadhali tunataka kuja
Chini ya hiyo bei hakuna tz nzima hupati chini ya hiyo beiNahitaji kununua mpunga popote Tanzania ila uwe na bei ndogo yaani chini ya 40,000 gunia
Mimi ni business man wamchele let mi give you advice kwasababu unaaza ningekushauri enda ifakara morogoro mchere its bit cheap en transportation nayo its cheap bt kuwa makini kununua mchele because coz their alot of types rice etc saro,mwendambiyo,mbaombiri en many more so kuwa makini mjombaHabari zenu wakuu,
Napenda kuingia katika hii biashara ya mchele kati ya Morogoro na Shinyanga wapi kuna mchele mzuri na wapi kuna unafuu wa bei kipindi cha mavuno? Bei kwa gunia inakuwaje muda wa mavuno? Mavuno yanaanza mwezi gani?
Nisaidieni wakuu.
Ila wanafanya wachache nimepata kilo 40 last week aseeh sitak hata uishe kiukwelMchopeko ni mchele unaotokana na mpunga uliochemshwa, kuanikwa na kukobolewa, zamani ilikuwa inafanywa sana hiyo lakini siku hizi sio sana watu hawana muda ndio maana hata pepeta sio nyingi kama zamani.
Mkuu mimi nipo mbigili dumila, mpunga ushaanza kuvunwaPoa mkuu ww upo maeneo gani? Kwani mavuno yashachanganya?
Bei 65-70Bei zikoje?
Gunia debe 7Debe ngapi?
Mavuno yako hatua gani?
Umeanza kazi?Mavuno yako hatua gani?
mkuu huku tutaenda sawa, kule kwingine tukubaliane kutokubaliana tuifakara jana mchele mzuri kilo 1 inaenda 1400-1500 nitauliza bei ya gunia ni sh ngap,ifakara nw wanavuna
Na kama ni kwa matumizi Morogoro unafaa haina haja kumaliza kilomita kibao hadi kyela wakati ifakara unamaliza kesi yote hata ukitaka tani 1000easy mkuu.....shy na mor ,mor the best,shy una mawe balaa....PEACE