Biashara ya Michezo ya Video (Video Games): Jifunze Uendeshaji, Changamoto na Faida Zake

Mkuu shingap nikutengee?
 
Mtoto kama hana akili hana akili,nenda kwny shule za international watoto wanacheza michezo kibao, computer games,playstation, tatzo watoto wenu uswahilini wana ulimbukeni navyo, na sio wanaotooka shule ndo wanaenda game, wapo wanaoenda mabondeni kucheza kamali,wapo wanaoenda kwenye mabanda ya picha, pooltable, na kuna ambao wenye akili mbovu km wewe wanaosema huo mchezo ni kamali.
 
Uko arusha pande zipi? Mi mwenyewe ndio kazi yangu hio, mi npo Dar.
 
Good

Katika ukuaji wangu sikua mpenzi wa michezo ya kutoa hela but now ninapotafutia riziki nimeona kuna fursa kama hii.
Tatizo ukiacha TV Siuji kingine kinachohitajika Katika kucheza game.

Msaada wa vitu muhimu na approximated prices zake?

Shukrani.
 
Oyi...Nahitaji namba yako mkuu, Kuna mdogo wangu anataka kufanya iyo biashara...
 
Kwanza wanavyuo wengi wana pc. So games wanatembea nazo kwenye mabeg daily ni wazo zuri ila hamishia mtaani, mwanachuo hawez kutoa hela kcheza game wkt anaweza kuliweka kwenye pc yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nina ofisi ya PlayStation so kipindi cha likizo hichi, kama kuna MTU anaP3 imekamilika, aje aweke kwenye ofisi tukubaliane kwa wiki nampa buku kumi. Pia kwa upande wa mchango wangu juu ya hii biashara inalipa ukipata maeneo mazuri, ila kwa Swazi bei ni chini, ila kwa maeneo ya kishua kwa mechi inafika jero au buku, mtaji ni mkubwa kwa maama uwe na PS, TV, angalau 2 n na kuendelea.
 
Na kuhusu swala lakodi likoje mkuu?
 
Ok, mkuu vipi kwa experience yako ni ganes gani inabidi uwe nazo ili kuweza kukidhi mahitaji ya wengi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…