Vipi ni games gani zinazochezeka sana?Mimi nina ofisi ya PlayStation so kipindi cha likizo hichi, kama kuna MTU anaP3 imekamilika, aje aweke kwenye ofisi tukubaliane kwa wiki nampa buku kumi. Pia kwa upande wa mchango wangu juu ya hii biashara inalipa ukipata maeneo mazuri, ila kwa Swazi bei ni chini, ila kwa maeneo ya kishua kwa mechi inafika jero au buku, mtaji ni mkubwa kwa maama uwe na PS, TV, angalau 2 n na kuendelea
PES, FIFA, GTA San andreas, Down hill, Call of duty sema tafuta boksi la padVipi ni games gani zinazochezeka sana ?
muda wa kufungua uweangalua kuanzia saa tisa kama ni uswahilini,
angalia usije ukakutana na mama wa mtaani wakikufungia kibwebwe mpaka kwa mwenyekiti wa mtaa, ofisi ya kata, watoto hawaendi shule wanashindia kwenye ps.
Any updateMimi najipanga mwakani najilipua waibe pesa wasisome walalamike me niashara nitafanya katikati ya shule nbili
Siku hizi wachimba cryptocurrency wamepandisha sana bei za Gpu, ila pc unakuwa na choice nyingi sana ya games na quality inakuwa kubwa kushinda console.Me nafkilia kuweka pc tu,labda na xbox moja
Niliwahi kufanya hii mkuu. Watoto walikuwa wanapenda sana Ps2 na wachache PS 3.
Bei. Ps 2 nusu saa ni 500 Ps 3 ilikuwa 1000/ per 30 minutes