Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Mjini wengi wanamiliki nikiwemo Mimi so nawabeba washkaji tunakuja kucheza .Sawa sawa Kaka[emoji23][emoji23]
Ishu ni mzunguko wa pesa afu inategemea location ya kijij mkuu sa uende ukute ad msimu wa mavuno ndo watu wanakuwa na pesa c utakuwa umelost direction ishu ni kupambana apa apa mjini kikubwa ubunifu mkuu ndo unaitajika kazin na so kukimbea eneo ety kisa wapo wengi wa Aina hiyo ya biasharaMjini wengi wanamiliki nikiwemo Mimi so nawabeba washkaji tunakuja kucheza .
Huko kijijini nilikuta jamaa mmoja kafungua yaani alikuwa anawakusanya mpka wababa..
Changamka bado hawajahamia huko ..
Achana na mijini..
Umeme siku hizi upo mpka vijijini
PoaIshu ni mzunguko wa pesa afu inategemea location ya kijij mkuu sa uende ukute ad msimu wa mavuno ndo watu wanakuwa na pesa c utakuwa umelost direction ishu ni kupambana apa apa mjini kikubwa ubunifu mkuu ndo unaitajika kazin na so kukimbea eneo ety kisa wapo wengi wa Aina hiyo ya biashara
kivipi bosshii biashara inalipa sana ukiwa eneo lenye mwingiliano wa watu sema mimi wakuda walinicheza ps na tv zangu
eneo nililofungulia hyo biashara nilikua napiga pesa vbya mno kwa cku hela ndogo nilikua napata 50k ila sema wezi waliniibia vitu vyote kwanzia Ps tv mpk pad zakekivipi boss
Hiyo ni bei ya game tu ps4mkuu naomba maelezo kidogo umesema complete ni 550k to 650k ni pamoja na hiyo tv au hapana?
Ujategemea ila m1 inatosha kwa kila kitu.Mkuu kwahiyo kwa mtu akiwa anataka kuanza na ps4 na tv Moja ni mtaji wa shingap?
Kodi na viti na feni ni haingiliiani kabisa ina bajeti yakeMkuu so ilikufikia makadirio ya 40 /day inabidi uwe na mtaji huo wa 2.5m + na kodi pamoja na vitu kama viti na fan.. au hiyo umepigia hesabu vitu vyote vya msingi kwa hii project?
Sawa sawa mkuu nafikiri vitu vingine ni mtu kufanya research tu yeye mwenyewe.Kodi na viti na feni ni haingiliiani kabisa ina bajeti yake
Mkuu unamaana kwamba ipo kinadharia zaidi, lakini kivitendo haitekelezeki kama ilivyokusudiwa?Biashara ya kwenye karatasi, ingia uoane
Mkuu umeshawahi fanya hii biashara? Unaizungumziaje kutokana na uchambuzi huo juu?Kuchezesha play station kitaa au hata mjini hakuitaji kibali kutoka board ya game