Jamaa ana tv na game 2 kiwango cha chini ni kiasi gani kwa siku mkuu tujuze labda utawafumbua watu macho
Umenunua tv na game utashindwa kodi na hivyo viti na feni mkuuHujaongelea meza, viti, makochi, fan, kodi ya pango, ulinzi, umeme na mshahara wa msimamizi. Bila kusahau bei ya kila game la playstation ambapo unatakiwa uwe na ma game kama mawili au matatu tofauti kwa kila tv.
Ingekua ni kuweka tv na ps tuu ata mm nngekua nayo.
Mim nataka kufungua hii biashara nipe ushauri vipi nianze na pes3 tatu? Au pes3 moja na pes4 moja bajet Ipo kam 2.5 mPs2 ikiwa complete ni 150k tu yaani pads 2 memorycard na flash yenye game zaidi 5+ waya wa power
Ps3 ikiwa complete ni 300k pads zake 2 waya wa power na game 5+ zenyewe zinakaa ndani kwa ndani haitaji memory card wala flash
Ps4 ikiwa complete ni 650k pads 2 waya wa power na game 5+ zenyewe zinakaa ndani kwa ndani haitaji memory card wala flash =ukiwa na accounts utaweka GAMES ndani kwa ndani ukiwa hauna utatumia CD kila mchezo yaani CD ya game ina bei yake kulingana na ukubwa na ubora mda wake au kupendwa na watu kama fifa21 zinafika mpaka 120k CD tu.ila kuna game mpaka za 15k 30k 50k 60k
HII NI MTUMBA TU
BEI ZA DUKANI YAANI MPYA
PS2 =250K-280K
PS3=350K-380K
PS4=750K-900K
HIZI MPYA KWENYE BOKSI
0783231177
Mkuu huyu jamaa Yuko Kigamboni lakini jioni madogo wanavyojaa, huwezi amini anakusanya 20-25k kwa siku na vifaa vyake hivyoNINA MIAKA 10 KWENYE HII BIASHARA KUTOKA KWENYE PS1 MPAKA SASA TUPO PS5 NAJUA CHINI NA JUU KUHUSU HII BIASHARA KAMA UNA SWALI AU JAMBO LOLOTE UNATAKA KUJUA NIULIZE
NTAKUPA MFANO MDOGO
IST 10M IKIWA USED KUTOKA JAPAN
UNAMPA MTU MKATABA UBER LABDA 20K 30K KWA SIKU
ICHUKUE HIYO M1
Jamaa ana tv na game 2 kiwango cha chini ni kiasi gani kwa siku mkuu tujuze labda utawafumbua watu macho
Ukienda GameStop nyingine unakuta setup mpaka za PC, maana Kuna gamers wa Aina nyingiNi nzur,mim nikpata hata 10,000 inanitosha.
Jaman ebu nifafanulien hapa,kwann huwa hawatumii laptop au desktop ili kupunguza gharama au game la laptop halinogi?
Mkuu umeongea point muhimu, biashara kama hzi kufanya wengi wanafikri kuwa hazina faidaNINA MIAKA 10 KWENYE HII BIASHARA KUTOKA KWENYE PS1 MPAKA SASA TUPO PS5 NAJUA CHINI NA JUU KUHUSU HII BIASHARA KAMA UNA SWALI AU JAMBO LOLOTE UNATAKA KUJUA NIULIZE
NTAKUPA MFANO MDOGO
IST 10M IKIWA USED KUTOKA JAPAN
UNAMPA MTU MKATABA UBER LABDA 20K 30K KWA SIKU
ICHUKUE HIYO M1
Jamaa ana tv na game 2 kiwango cha chini ni kiasi gani kwa siku mkuu tujuze labda utawafumbua watu macho
Mkuu umecomment kwa kujikatisha tamaa sanaHujaongelea meza, viti, makochi, fan, kodi ya pango, ulinzi, umeme na mshahara wa msimamizi. Bila kusahau bei ya kila game la playstation ambapo unatakiwa uwe na ma game kama mawili au matatu tofauti kwa kila tv.
Ingekua ni kuweka tv na ps tuu ata mm nngekua nayo.
Mkuu ili uweze kuplay Games latest kiasi na nzuri unahitaji Gaming Pc ambazo pia ni gharama sana hiyo Laptop/desktop inabidi iwe na specifications kubwa kuanzia RAM, GPU ~video Graphics card (nvidia/radeon), CPU ~ corei(x)... nimeorodhesha hivi tu kwa mfano ili upate picha kuwa pia sio gharama nafuu.. labda waje wenye uzoefu kutujuza zaidi as kwanini tutumie play staion badala ya gaming pc.Ni nzur,mim nikpata hata 10,000 inanitosha.
Jaman ebu nifafanulien hapa,kwann huwa hawatumii laptop au desktop ili kupunguza gharama au game la laptop halinogi?
Mkuu pc yangu ya del latitude E 6400 nimeweka pes 2021 naona kama ina scratch kwa mbali shida ni nini?Mkuu ili weze kuplay Games latest kiasi na nziri unahitaji Gaming Pc ambazo pia ni gharama sana hiyo Laptop/desktop inabdi iwe na specifications kubwa kuanzia RAM, GPU ~video Graphics card (nvidia/radeon), CPU ~ corei(x)... nimeorodhesha hivi tu kwa mfano ili upate picha kuwa pia sio gharama nafuu.. labda waje wenye uzoefu kutujuza zaidi as kwanini tutumie play staion badala ya gaming pc.
Mkuu nasikia PS5 imetoka je unayo..?Ps2 ikiwa complete ni 150k tu yaani pads 2 memorycard na flash yenye game zaidi 5+ waya wa power
Ps3 ikiwa complete ni 300k pads zake 2 waya wa power na game 5+ zenyewe zinakaa ndani kwa ndani haitaji memory card wala flash
Ps4 ikiwa complete ni 650k pads 2 waya wa power na game 5+ zenyewe zinakaa ndani kwa ndani haitaji memory card wala flash =ukiwa na accounts utaweka GAMES ndani kwa ndani ukiwa hauna utatumia CD kila mchezo yaani CD ya game ina bei yake kulingana na ukubwa na ubora mda wake au kupendwa na watu kama fifa21 zinafika mpaka 120k CD tu.ila kuna game mpaka za 15k 30k 50k 60k
HII NI MTUMBA TU
BEI ZA DUKANI YAANI MPYA
PS2 =250K-280K
PS3=350K-380K
PS4=750K-900K
HIZI MPYA KWENYE BOKSI
0783231177
Sina hizo zinapatikana mpya yaani dukani kabisa na bei yake ni m2Mkuu nasikia PS5 imetoka je unayo..?
Biashara ya kwenye karatasi, ingia uoane
Nimepata picha mkuu, asanteMkuu ili weze kuplay Games latest kiasi na nziri unahitaji Gaming Pc ambazo pia ni gharama sana hiyo Laptop/desktop inabdi iwe na specifications kubwa kuanzia RAM, GPU ~video Graphics card (nvidia/radeon), CPU ~ corei(x)... nimeorodhesha hivi tu kwa mfano ili upate picha kuwa pia sio gharama nafuu.. labda waje wenye uzoefu kutujuza zaidi as kwanini tutumie play staion badala ya gaming pc.
Bonyeza start window buttonMkuu pc yangu ya del latitude E 6400 nimeweka pes 2021 naona kama ina scratch kwa mbali shida ni nini ?
Specifications zake
Ram 4
Processor 2.56
Rom 250
Kwanini unasema hivyo mkuu? Wakati nusu ya wachangiaji wamekiri wanafanya hiyo biashara na sio kama nimchanganuo tuUkiwa nje ya uwanja unaona kinomaa [emoji23][emoji23][emoji23]
Simu zenye we zinacheza ps2 ikiwa na nguvu kidogoMkuu hao washakaji zako unaowabeba kwenda kucheza nao wao wanazo pia?
Ps zingekuwa kama smartphone ningesema kweli wengi wanamiliki
Kasema nani. Lazima uwe na leseniKuchezesha play station kitaa au hata mjini hakuitaji kibali kutoka board ya game
Leseni ya biashara sio game boardKasema nani. Lazima uwe na leseni