TURTEKING
Senior Member
- Nov 4, 2020
- 120
- 201
NINA MIAKA 10 KWENYE HII BIASHARA KUTOKA KWENYE PS1 MPAKA SASA TUPO PS5 NAJUA CHINI NA JUU KUHUSU HII BIASHARA KAMA UNA SWALI AU JAMBO LOLOTE UNATAKA KUJUA NIULIZE
NTAKUPA MFANO MDOGO
IST 10M IKIWA USED KUTOKA JAPAN
UNAMPA MTU MKATABA UBER LABDA 20K 30K KWA SIKU
ICHUKUE HIYO M1
NTAKUPA MFANO MDOGO
IST 10M IKIWA USED KUTOKA JAPAN
UNAMPA MTU MKATABA UBER LABDA 20K 30K KWA SIKU
ICHUKUE HIYO M1
Jamaa ana tv na game 2 kiwango cha chini ni kiasi gani kwa siku mkuu tujuze labda utawafumbua watu macho