CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
mkuu salama kabisa mambo yamebana sana kwa sasa,
hela za laana mimi huwa sizitaki kabisa ndio maana tunajaribu kumuelewesha ndugu yetu hapa kuhusu hizi biashara za kitapeli, huko kongwa, mpwapwa vijijini kuna wahuni huwa wanapeleka mafuta ya taa kubadili na mahindi daaa yani lita moja inabadilishwa kwa debe la mahindi. Wenye matractor nao huwa wanayapeleka huko kipindi cha kilimo then hekari moja inalimwa kwa gunia kadhaa za mahindi au maharage na wanakijiji hawana 30,000 ya kulimia hk 1 so inawabidi tu wakubali... itatuchukua muda sana kuja kuibadili tz yetu kwa mitindo ya namna hii
Mkuu suluhisho ni wao wakulima kuwa katika vikundi na kuwekeana mikakati ya uuzaji wa mazao, na kingine wawe na shughuli zingine Mbadala kama Ufugaji wa kuku, Nyuki, Vikundi vya kuweka na Kukopa,