Biashara ya ngono inayofanywa mitandaoni

Biashara ya ngono inayofanywa mitandaoni

Hali siyo nzuri kwa kweli. Kila mtu afanye maamuzi sahihi kulingana na imani na utashi wake kwa sababu hakuna anayelazimishwa ila mambo yameharibika sana. Ambao bado mnatafuta wake mna kazi ngumu sana katika kizazi hiki cha Whatsapp, FB, Telegram, Insta, Tik Tok, Snapchat, Badoo.

View attachment 1452797
Duuuh hapa unaenda ukiwa huna wasi wasi , hadi kupima imoo , duuuh kwel hatari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nmemtafuna vera, na minah mtamu namuwinda mtoto mmoja wa tabata anagawa tigo hatari.
Minah almanusra nimle pind bado underground.

Aliletwa na rafk ake,malaya mmoja sugu anaitwa asha Kei wa pale ambiance.

Utoto utoto mwng, tukakubaliana mtungo wa mtu 3 kwa mbili .

akakubari na akala advance yetu.

Alpokunywa TU bia zetu&nyama akatokomea gizani.

Ikabd Asha kei atataftie mwngn, maana wahuni wasingemwelewa.

Mkuu, nipe connection ya Vera njitose, maana naskia mambo yake supa.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli biashara hiyo imeshamiri sana! Hata hivyo uzoefu na uchunguzi unaonyesha kwamba udanganyifu wa wanaume wengi pamoja na tamaa mbaya ya mabinti hawa ndivyo vilivyotufikisha hapo! Wanaume wengi hupendelea kuwawinda mabint wa umri mdogo, wakiamini ndio watamu na pia kwa umri wao wengi hawana magonjwa kama UKIMWI nk, Sasa cha ajabu mwanaume tena Baba zima likishafanikiwa kumdanganya bint kwa ahadi nyingi na pesa za nje nje na kumpata bint kimapenzi, kisha wakati bint ameshakata mipango yake mingine yote akiamini kampata wa kufa na kuzikana, ghafla dume anamuacha somba!

Hapa bint huwa hana plana nyingine zaidi tu ya kujipa moyo na kumtafuta mwingine na akimpata nako pia muda si mrefu anaambulia yaleyale, ndo maana kuna mabint walishafikia hitimisho na kusema kuwa wanaume wote ni baba mmoja, sababu wengi wanafana udanganyifu! Hivyo hufika mahala bint anakuwa haoni shughuli nyingine ya kufanya ila tu atafute mwanaume, ndo hapa mambo ya kujiuza hadi mitandaoni yanapoanzia!...So natoa wito wanaume tujirekebishe, tunamchango mkubwa sana katika kuwaharibu wanawake wengi, na si kuwaharibu tu, bali hata kuwaharibia future na maisha yao ya badaye!
 
Mimi naamini hata jf is just a matter of time, mauzo na manunuzi yataanza sio miaka mingi ijayo.

P$$y has got power!!
kiongozi mawazo yako yamekuwa kama yangu na mimi niliwazia hili
kuna thread humu watu wataanza kupita nazo kibiashara
 
Kwa sababu biashara ya ngono haizuiliki na imekuwa sugu karne na karne, mimi nashauri serikali iruhusu tu hii biashara ili ipanue wigo wa vyanzo vya mapato (kodi).

Cha msingi itengeneze mazingira na utaratibu wa kulinda afya za wafanyabiashara na wateja!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yes Mkuu biashara imerahisishwa zaidi. Yaani ukitaka unaiona papa yake kwanza kabula ya kuinunua, pengine unaweza kurequest trailer akiwa kazini uone kama anajishughulisha kisawasawa.
[emoji849][emoji849][emoji849]

Hili nalo tuliweke kwenye maajabu ya dunia

I'll be back
 
Back
Top Bottom