Biashara ya ngono inayofanywa mitandaoni

Biashara ya ngono inayofanywa mitandaoni

Haya maswala ya kuomba omba link sio mazuri, kama una App ya Telegram ingia kwenye search, amdika malaya bongo...utapata link kibao utaangalia mwenyewe ya kujiunga na ushetani wako ewe unayetaka kujiunga! Ila tukumbuke hizi ni nyakati za mwisho!!
 
Kwahiyo umeamua kuscreenshot post ya Minah Mtamu, Sweet Lisher kule Team uaminifu na kuileta humu??


Anyway nishaleft huko telegram kwenu, sahivi nawamega tu wa Hi5 na tagged, huku nimekula mpaka mzungu na albino
Hi5 ni application?nataka albino,nipe connection
 
mimi sema ukweli sina nilifutaga apps zote kasoro tellegram ambayo naitumia kwa ajili ya magrup ya betting!! Maana nilikaa nikajiuliza mimi huwa sinunuagi malaya..hawa hawa malaya ndo wapo huko badoo,hitwe, hi5, tagged e.t.c alafu nikafikiria ishu ya maradhi na upotevu wa pesa tu ujana tunaitaji kuutumia vizur.Mwenyezi Mungu anisaidie!!nikafutaga zote nina kama mwaka sasahivi sitaki kuzisikia
Nipe links za betting groups huko telegram
 
Mtandaoni kuna mambo mengi, Unaweza kupata mahubiri na maombezi online, au nyimbo za kwaya, Ila kama ukiashkia kuangalia mauvungu ni wewe tuu.
 
Mkuu hio bizness ipo toka miaka 2020 iliyopita..
 
Back
Top Bottom