Biashara ya Ngono jijini Dar inatisha, yazidi kunawiri

[emoji1][emoji1] wapi upo
Graduate nipo nyumbani mitaa hiyo
Ni mwendo wa kuwaenjoi tu
Na hivi Sina hela.

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Mzee makamba alipokuwa mkuu wa mkoa pana siku yeye mwenyewe anahadithia kala patrol na dereva wake mara akaiona gari inamchukua changudoa akamwambia dereva wake aifukuze ile gari basi walipoifikia akaamuru yule changu ashuke basi jamaa alie opoa changu akajitoa ufahamu na kumwambia mzee akishuka huyu ujue unapanda wewe sasa mzee makamba akawa anajiuliza yeye angeenda kumfanya nini!
 
Kudadeki kuna watu wamenyongorota sio kupinda tu

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…