Biashara ya Ngono jijini Dar inatisha, yazidi kunawiri

Biashara ya Ngono jijini Dar inatisha, yazidi kunawiri

Iliwahi kunikuta hiyo,miezi mitatu sikuishi kwa amani ....Glory to GOD ilipita nikakutwa Niko salama

Nikajiunga na chama cha wachangia damu😂😂
Kama nakuona ulivokua ukiota ndoto mbaya mbaya za what if nikikutwa nao, ila unajipa matumaini aah hakukua na michubuko 😂 sasa ni wangapi wanaopasukiwa hivo kwa huyo dada ni risk🤔
 
Hii kitu kwangu ngumu, sidhani kama nitakuja kuifanya. Nina kinyaa..
 
Hii kitu kwangu ngumu, sidhani kama nitakuja kuifanya. Nina kinyaa..
Kama una kinyaa anza kuandaa mke wako tangia darasa la nne na uhakikishe hakuna mtu anaemgusa hadi unamuoa.
Unaoa mke primary alipigwa, sekondari alipigwa na ticha akapigwa na wanafunzi, A- level kapigwa na bodaboda, chuo kaishi chumba kimoja na mshkaji miaka 3 kachomoa mimba 5. Alivyoenda field kapigwa na mabadboy wa ofisini.
Wewe unakuja kuoa mtu wa 30 halafu unadai una kinyaa?
 
Kama una kinyaa anza kuandaa mke wako tangia darasa la nne na uhakikishe hakuna mtu anaemgusa hadi unamuoa.
Unaoa mke primary alipigwa, sekondari alipigwa na ticha akapigwa na wanafunzi, A- level kapigwa na bodaboda, chuo kaishi chumba kimoja na mshkaji miaka 3 kachomoa mimba 5. Alivyoenda field kapigwa na mabadboy wa ofisini.
Wewe unakuja kuoa mtu wa 30 halafu unadai una kinyaa?
nimemshangaa snaa huyo jamaa
 
Kama una kinyaa anza kuandaa mke wako tangia darasa la nne na uhakikishe hakuna mtu anaemgusa hadi unamuoa.
Unaoa mke primary alipigwa, sekondari alipigwa na ticha akapigwa na wanafunzi, A- level kapigwa na bodaboda, chuo kaishi chumba kimoja na mshkaji miaka 3 kachomoa mimba 5. Alivyoenda field kapigwa na mabadboy wa ofisini.
Wewe unakuja kuoa mtu wa 30 halafu unadai una kinyaa?
[emoji23][emoji23][emoji23]kuna tofauti mkuu, imagine mtu katoka wewe unaingia..aaagrr!
 
Sawa ila ushasema najuaje means sijui sasa vipi kwa yule unayejua kabisa katoka kubanduliwa na ukitoka wewe kuna mwingine anakuja kubandua hapo hapo hausikii ukakasi hapo?
Nasikia utelezi kwa kuwa amenisaidia kulainisha
 
Niliwahi kwenda mara moja pale Temeke sudani kwa Wahaya aisee nakumbuka kipindi hicho ilikuwaga Buku goli moja fasta
 

Jana tulianza kuchapisha makala maalum kuhusu kushamiri kwa biashara ya ukahaba kwenye maeneo mbalimbali jijini Dar es Salaam.

Hata hivyo, katika uchunguzi huo imebainika kuwa, kuna kushamiri zaidi kwa watoto wadogo chini ya miaka 18 kujiingiza kwenye biashara hiyo haramu.

Timu ya waandishi wa Mwananchi imefika katika maeneo na kuzungumza na watu mbalimbali, wakiwemo wahusika ambao wameeleza masaibu wanayokutana nayo. Endelea

Ushuhuda wa wahusika

Mmoja wa makahaba wanaojiuza kwenye baa moja maarufu maeneo ya Manzese akijitambulisha kwa jina la Jack (28), alizungumza na gazeti hili na kubainisha kuwepo kwa makahaba walio na umri chini ya miaka 18, lakini akasema ni vigumu kuwabaini kwa sababu ya muonekano wa maumbile yao kufanana na watu wazima.

Anasema makahaba wanaoonekana wadogo huwa wanafukuzwa wanapojaribu kuingia katika baa hiyo, lakini wenye maumbo makubwa wanaruhusiwa kuingia.

“Ni vigumu kujua kama huyu ana umri chini ya miaka 18, lakini wale ambao wanaonekana wadogo huwa wanafukuzwa hapa. Wakiondoka unakuta wanarudi tena na kuendelea na biashara kama wengine,” alisema Jack.

Kahaba huyo anaeleza kwamba anafanya biashara hiyo kwa sababu hana shughuli nyingine ya kumwingizia kipato cha kukidhi mahitaji yake ya kila siku.

Anasema wale wateja wa haraka (short time) wanalipia Sh7,000 hadi Sh10,000 ambapo Sh2,000 wanalipia chumba kwa kila anapoingiza mwanamume na kwa siku za wikiendi anaweza kuwahudumia wanaume kati ya 15 hadi 20. “Siku za kawaida hakuna watu wengi, naweza kupata Sh40,000 hadi Sh50,000 lakini siku za wikiendi nafikisha Sh100,000 mpaka Sh150,000,” anasimulia kahaba huyo ambaye alianza biashara hiyo miaka miwili iliyopita.

Ndani ya baa hiyo (jina linahifadhiwa) kuna vyumba vya kulala takribani vinane ambavyo ndani yake kuna kitanda kwenye kila chumba na kapu la taka. Vyumba hivyo ndiyo vinatumiwa na makahaba hao kwa huduma za haraka, lakini pia kuna vyumba maalumu (VIP) ambavyo viko sehemu tofauti ndani ya baa hiyo na bei yake ni tofauti.

Majirani katika maeneo ambayo biashara hizo zinafanyika wanasema makahaba hao wanawaharibu kimaadili watoto wao kwa sababu wanaona wanachofanya na wao wanaiga, jambo ambalo ni hatari kwa maisha yao.

Kwa upande wake, mkazi wa mtaa wa Mnazi Mmoja, Kuluthum Mrisho alisema wanaishi nao hivyo hivyo kwa sababu nyumba yao ipo katika eneo hilo na hawana sehemu nyingine ya kwenda.

“Sisi tulishawazoea, kila mtu na maisha yake. Tutafanya nini, tutakwenda wapi baba yangu,” anasema mwanamke huyo.

Mwananyamala ‘Kwa Wahaya’

Mkazi wa Mwananyamala, Ramadhani Juma anasema eneo la Mwananyama maarufu kama “Kwa Wahaya” ni la muda mrefu na lilianza miaka ya 1980 walipohamia hapo kutoka Kisutu.

Anasema wanawake hao hawakuanza biashara hiyo hivi karibuni, bali walianza zamani kwa kuwafurahisha wanajeshi wa jeshi la kikoloni wakati huo.

“Hawa wanawake walihamia hapa miaka ya 1980 wakitokea mjini karibu na soko la Kisutu, hawa walikuwa pale kwa ajili ya kuwafurahisha wanajeshi wa kikoloni, siku zilivyozidi kwenda walihamia maeneo mengine,” alisema Ramadhani.

Alisema hadi eneo hilo linaanzishwa ni kwa sababu wapangaji walikuwa wanasumbua kulipa kodi, lakini kwa hawa makahaba, mwenye nyumba anakuwa na uhakika wa kulipwa bila usumbufu. “Wapangaji hawa hawasumbui katika suala la kodi, kama ni kwa mwezi au miezi sita uhakika wa kulipa upo tofauti na wengine inapofika wakati wa kulipa wanasumbua,” alisema.

“Binafsi namfahamu rafiki yangu alikuwa na nyumba ya kawaida yenye vyumba vitano, kutokana na kusumbuliwa na wapangaji aliamua kugeuza vyumba vidogo vidogo na kuwapangisha makahaba hao.

“Hii biashara ilianza kwa nyumba moja, kadri siku zilivyozidi kwenda watu wengine walinunua nyumba na kuzifanya hivyo, lengo ni kuachana na usumbufu wa kodi, kwani hawa wana uhakika wa kulipa,” alisema.

Juma alibainisha kuwa wanaofanya biashara hiyo wamekuwa wakipanga vyumba hivyo na umri unapokwenda wamekuwa wanawapangisha watu wengine.

Chanzo: Mwananchi
Mwaka 2015 nilikuwa mara nyingi natembea kwa miguu toka Ubungo mpaka Mabibo Hostel, kuna mwanangu tulikuwa tunapiga mishe wote.Basi wiki iliyopita nimetoka zangu Job mida kama ya saa nne kasoro nimeshuka kwenye mwendo kasi ,nikaenda kuvizia daladala pale Ubungo power plant gari hazi simami,nikaamua nitembee kwa miguu mpaka Riverside. Yaani ile namaliza daraja kwa mbele nakutana na lundo la machangudoa.

Aisee daah mpaka nikajiuliza wameanza lini, yaani niliwaona mabinti wazuri mno kuanzia juu mpaka chini,wengine wamefungasha kisawasawa wanajiuza.So naona watu wa Ubungo huduma mmesogezewa, ila kununua malaya yataka ujasiri si wengine sijui tuna kinyaa.

Ila cha ajabu malaya nao wanakuwa na wivu sana kwa mabwana zao wanao wapenda, wanawahonga,sometimes mpaka kuwalea. Kuna mmoja alikuwa anakaa home kipindi nipo advance, alikuwa mmanyema, shepu kama lote, alikuwa anajuuza maeneo ya Sinza. Alikuwa na jamaa mmoja dereva wa bajaj,jamaa alikuwa anapewa hela, anafuliwa na kupikiwa,yy kazi yake ilikuwa kupiga show tu.
 
Aisee bhana weee...kuna mtoto mmoja nilimuopoa pale Sinza, Ambiance[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....aisee yule msichana aliniokoa sana asee....Ndomu ilipasuka, akajua imepasuka akaniambia....wakati huo mimi sijuk hata kama imepasuka.

Yule mdada ana roho nzuri sana, mwingine angeniacha, unaweza kita ningepata ngoma[emoji134][emoji22][emoji23][emoji23][emoji23].

Alivyoambia, kutoa...kweli nikakuta imepasuka upande...nikanyanyuka[emoji23]... nikabaki nimesimama nawaza ngoma ngoma tu[emoji23]....mtoto akaenda kunawa toilet, aliporudi akawa anavaa viatu vyake[emoji23] kumCheki, dadeki nikatamani tena[emoji23] nikamuuliza "una ndomu"? Akasema "Ndio" hahahah...

Akanivalisha, tukarudia game[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...Safari hii nilikuwa makini, nilikuwa napiga, halafu nachomoa kuangalia maendeleo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
PM namba yake
 
mkuu
Kama una kinyaa anza kuandaa mke wako tangia darasa la nne na uhakikishe hakuna mtu anaemgusa hadi unamuoa.
Unaoa mke primary alipigwa, sekondari alipigwa na ticha akapigwa na wanafunzi, A- level kapigwa na bodaboda, chuo kaishi chumba kimoja na mshkaji miaka 3 kachomoa mimba 5. Alivyoenda field kapigwa na mabadboy wa ofisini.
Wewe unakuja kuoa mtu wa 30 halafu unadai una kinyaa?
mkuu huwa unatumia juice ya ukwaju chukua nitalipia
 
Back
Top Bottom