Biashara ya Ngono jijini Dar inatisha, yazidi kunawiri

Biashara ya Ngono jijini Dar inatisha, yazidi kunawiri

Hapa sasa ndiyo ile mwanamke huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe! Kumnyima mume si kumkomoa akale wapi sasa😜 ila na wewe mkuu huenda ndiyo chanzo cha hivo visa, siamini kama from nowhere tu mtu aanze visa lazima kuna shida ambayo hamkuisolve mapema aisee.
Nimekua nae toka utotoni mpaka ndoa, alinizoea sana, nilikua nakata Week sipati haki yangu, nilikua loyal sana kwake ila alibadilika sana baadae.
 
Hapa sasa ndiyo ile mwanamke huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe! Kumnyima mume si kumkomoa akale wapi sasa😜 ila na wewe mkuu huenda ndiyo chanzo cha hivo visa, siamini kama from nowhere tu mtu aanze visa lazima kuna shida ambayo hamkuisolve mapema aisee.
Ata kama itatokea umekosana na mme wako akikuomba we mpe tu, mtajikuta ugomvo unatatuliwa huko huko kwenye kupeana. Ila ukijidai unatumia hio (kunyima mbunye) kisa mmekosana tena kwa mda mrefu jua had hapo umeisha vunja ndoa/mahusiano yenu
 
Hata mwanaume uliyenaye huwa tunapanga nae foleni kupata huduma japo yeye anakuficha ndipo hapo kauli yako ya wanaume tunaroho ngumu ndipo tafsiri ya kauli yako
Sikatai tena mwanaume mwenyewe ni wewe hapo na ndiyo maana nikasema mna roho ngumu papuchi umeiacha home umeenda kupangishwa foleni ya kuchovya huko
 
Ni hatari sana na wanaume wanaonunua wana roho ngumu na hawana kinyaa yaani unajua kabisa unaweza ukawa ni 13 hivi kwa siku hiyo na bado unaenda na wewe sehemu walipotoka wenzio[emoji848]
tumia akili wewe .hao kwenye vyumba vyao kuna mabafu kila chumba wakimaliza tu tendo na mtu wana koga safi ndo anarudi kutega tena[emoji39][emoji39][emoji39]
 
Ata kama itatokea umekosana na mme wako akikuomba we mpe tu, mtajikuta ugomvo unatatuliwa huko huko kwenye kupeana. Ila ukijidai unatumia hio (kunyima mbunye) kisa mmekosana tena kwa mda mrefu jua had hapo umeisha vunja ndoa/mahusiano yenu
Hakika nimejifunza kitu , tena tukikosana mimi ndo nakua wa kwanza kumpa kabla hajasusa maana najua akitoka hapo anaenda kutafuta nje huko, ila na nyie kwahiyo papuchi ni mojawapo ya basic needs siyo? Au kutukomoa tu
 
tumia akili wewe .hao kwenye vyumba vyao kuna mabafu kila chumba wakimaliza tu tendo na mtu wana koga safi ndo anarudi kutega tena[emoji39][emoji39][emoji39]
Baba kama hujui kuna zingine zinafutwa tu na tissues mkuu, shtuka tulizana aoge foleni ikimsubiri?
 
Hakika nimejifunza kitu , tena tukikosana mimi ndo nakua wa kwanza kumpa kabla hajasusa maana najua akitoka hapo anaenda kutafuta nje huko, ila na nyie kwahiyo papuchi ni mojawapo ya basic needs siyo? Au kutukomoa tu
Sio kukomoana yan hio sio basic tu bali ni fundamental need kabsaa hasa kwa wanandoa had vitabu vitakatifu vinalitambua hilo
 
Mambo yote telegram
Screenshot_20210801-224547.jpg
 
Ni hatari sana na wanaume wanaonunua wana roho ngumu na hawana kinyaa yaani unajua kabisa unaweza ukawa ni 13 hivi kwa siku hiyo na bado unaenda na wewe sehemu walipotoka wenzio[emoji848]
Bila shaka uliyenaye ulimkuta ana bikra
 
Nina mwanangu huyo alimaliza vyumba pale kwa wahaya mwananyamala akahamia wa kigamboni.

Miaka inakimbia sana.
 
Back
Top Bottom