Biashara ya ngono yashika hatamu mtandaoni

Biashara ya ngono yashika hatamu mtandaoni

Ngumu kumzuia mwanadamu akitaka lake. Pindi Magufuli alipofunga internet watu waliambizana kuwa watumie VPN na wakaendelea kupata taarifa kama kawaida. Sasa hivi ukisearch google huwezi kuingia katika website za Ngono ila ukitumia VPN una access kama kawaida.

Hata huko china na Korea kaskazini wanazuia matumizi ya baadhi ya mitandao ila bado raia wao wanatumia VPN
Hii vpn nimeshindwa kuiweka kwenye simu yangu mana wanataka nitumie saver ya nchi za ulaya.
 
Biashara za ngono na usambazaji wa video pamoja na picha za ngono ni moja ya hasara za Teknolojia, serikali tunaomba uthibiti haraka maana hali sio shwali.

Moja ya mitandao ya kijamii ambayo inaongoza kusambaza video za utupu pamoja na picha ni mtandao wa WhatsApp, telegram, facebook na Instagram hiyo ni baadhi.

Kama google wameweza kuzuia kuangalia hizo video katika ukanda wa afrika ya mashariki kwanini serikali isifanye ikawa hivo kwenye hizi Application maana taifa linazama na mkombozi ni serikali maana wenye ma

View attachment 2579878
Kwenye hiyo mitandao ya ngono unafuata nini Ustaadh!! Wewe tumia muda wako mwingi kwenye kuswali, na pia kumtumikia Mola wako.

Ona sasa umeniharibia swaumu yangu kupitia hii picha yako! ☹️
 
Huwezi kuzuia labda mikakati ya kupunguza.

Mfn mie dk 3 zilizopita nimetoka Telegram huko kujionea ya walimwengu.

Nafkiri mtandao unaoongoza kuwa na Porn nyingi ni Telegram. Ukimuona mtu telegram hakauki ujue ni MWAMBA huyo.
Embu nipe link nataka zile za wabongo huwezi piga vita nguruwe ulafanikiwa...embu fanya hvyo
 
Ngumu kumzuia mwanadamu akitaka lake. Pindi Magufuli alipofunga internet watu waliambizana kuwa watumie VPN na wakaendelea kupata taarifa kama kawaida. Sasa hivi ukisearch google huwezi kuingia katika website za Ngono ila ukitumia VPN una access kama kawaida.

Hata huko china na Korea kaskazini wanazuia matumizi ya baadhi ya mitandao ila bado raia wao wanatumia VPN
Google hawajazuia website za ngono, unaingia bila matatizo na hauhitaji VPN
 
Huwezi kuzuia labda mikakati ya kupunguza.

Mfn mie dk 3 zilizopita nimetoka Telegram huko kujionea ya walimwengu.

Nafkiri mtandao unaoongoza kuwa na Porn nyingi ni Telegram. Ukimuona mtu telegram hakauki ujue ni MWAMBA huyo.

Kwani telegram kuna site maalum ya kutazama hayo mambo?
 
Biashara za ngono na usambazaji wa video pamoja na picha za ngono ni moja ya hasara za Teknolojia, serikali tunaomba uthibiti haraka maana hali sio shwali.

Moja ya mitandao ya kijamii ambayo inaongoza kusambaza video za utupu pamoja na picha ni mtandao wa WhatsApp, telegram, facebook na Instagram hiyo ni baadhi.

Kama google wameweza kuzuia kuangalia hizo video katika ukanda wa afrika ya mashariki kwanini serikali isifanye ikawa hivo kwenye hizi Application maana taifa linazama na mkombozi ni serikali maana wenye
Wakikua wataacha....
 
Umeshasahau tu kwamba hata watu waliopo serikali I( mawaziri na wabunge) nao pia Ni watumiaji wazuri wa video za ngono na picha za utupu.

Kenya Kuna mbunge mmoja aliwahi kustukiwa akiangalia video ya ngono wakati mjadala unaendelea bungeni.
ni bunge la uingereza alikuwa akitaza trekta site akajiuzulu
 
Back
Top Bottom