Biashara ya ngono yashika hatamu mtandaoni

Hii vpn nimeshindwa kuiweka kwenye simu yangu mana wanataka nitumie saver ya nchi za ulaya.
 
Kwenye hiyo mitandao ya ngono unafuata nini Ustaadh!! Wewe tumia muda wako mwingi kwenye kuswali, na pia kumtumikia Mola wako.

Ona sasa umeniharibia swaumu yangu kupitia hii picha yako! ☹️
 
Huwezi kuzuia labda mikakati ya kupunguza.

Mfn mie dk 3 zilizopita nimetoka Telegram huko kujionea ya walimwengu.

Nafkiri mtandao unaoongoza kuwa na Porn nyingi ni Telegram. Ukimuona mtu telegram hakauki ujue ni MWAMBA huyo.
Embu nipe link nataka zile za wabongo huwezi piga vita nguruwe ulafanikiwa...embu fanya hvyo
 
Google hawajazuia website za ngono, unaingia bila matatizo na hauhitaji VPN
 
Huwezi kuzuia labda mikakati ya kupunguza.

Mfn mie dk 3 zilizopita nimetoka Telegram huko kujionea ya walimwengu.

Nafkiri mtandao unaoongoza kuwa na Porn nyingi ni Telegram. Ukimuona mtu telegram hakauki ujue ni MWAMBA huyo.

Kwani telegram kuna site maalum ya kutazama hayo mambo?
 
Wakikua wataacha....
 
Umeshasahau tu kwamba hata watu waliopo serikali I( mawaziri na wabunge) nao pia Ni watumiaji wazuri wa video za ngono na picha za utupu.

Kenya Kuna mbunge mmoja aliwahi kustukiwa akiangalia video ya ngono wakati mjadala unaendelea bungeni.
ni bunge la uingereza alikuwa akitaza trekta site akajiuzulu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…