Biashara ya ngono yashika hatamu mtandaoni

umesahau ule uzi picha za warembo humu jf na ule wa kula tunda kimasihara unachochea sana
 
Mitandao kuna mengi. We angalia yanyokuhusu tu. Wacha kihelehele kwa kuoaramia yasiyokuhusu.

Unachikitaafuta mtandaoni ndicho unacholetewa.
 
Mitandao kuna mengi. We angalia yanyokuhusu tu. Wacha kihelehele kwa kuoaramia yasiyokuhusu.

Unachikitaafuta mtandaoni ndicho unacholetewa.
Wale wale. Mtoto wangu unamuadhibu we kama nani. Shoga mmoja
 
Nipe link mkuu na mi nikahakiki kama ni kwel
Search unataka nini,utapata kule telegram,kila kitu alichonacho mwanadam ambacho unahisi kinaweza kukupa au kinakupaga raha,search utakipata kule.
 
Nipe link mkuu na mi nikahakiki kama ni kwel
Weee jamaa fala unajiita Ndiuka, hilo ni eneo lipo Iringa huko. Niliwahi fika gari yetu ilipata breakdown. Eneo lile ni kijiji kidogo lakini kina ukimwi kama woote...
 
Umeisahau badoo huko ndio kuna umalaya wa nje nje, kamata la kwako ulizia bei panga muda na venue mkapeane kaswende.
 
Acha tu hiyo biashara iendelee kwa kiasi kikubwa inasaidia sana kupunguza kesi za ubakaji ni ngumu kummudu mwanamk unayekutana mtaani bila pesa ya uhakika
 
Acha tu hiyo biashara iendelee kwa kiasi kikubwa inasaidia sana kupunguza kesi za ubakaji ni ngumu kummudu mwanamk unayekutana mtaani bila pesa ya uhakika
Hawa wa mtandaoni ni cheap nakuunga mkono. But cheap is expensive
 
Weee jamaa fala unajiita Ndiuka, hilo ni eneo lipo Iringa huko. Niliwahi fika gari yetu ilipata breakdown. Eneo lile ni kijiji kidogo lakini kina ukimwi kama woote...
Vip hukuhemewa kisogo pale ndiuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…