Biashara ya nguo, viatu, mikoba na cosmetics kutoka Uganda

Kwa belo la nguo nzuri za kinadada ni 280000-35000 kwa Mnazi mmoja Dar es Salaam.
Nakushauri uongeze mtaji au utafute patner ili mchukue mzigo mzuri.
Kwa viatu Mshanajr kuna viatu alisema anavyo sijui kama bado vipo?

love thé love or hâte thé love.....
 


Asante mkuu kwa ushauri,ngoja niufanie kaz
 
Habari wadau.
Tafadhari ninaomba ushauri.
Nahitaji kufanya biashara ya viatu. Nko mwanza, tafadhari kama kuna mzoefu wa biashara hili anisaidie mawazo kwa hili, hata mahali vinakopatikana kwa bei nafuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nairobi kama vya mtumba kama special nenda Kariakoo au Uganda.
Uganda tuseme simpo moja utanunua elfu 75 ya uganda bei ya jumla sawa na 5000 ya TZ. Ambapo vinauzwa sio chini ya
12,000 hadi 15,000 hapa nchini. Ukichukua mzigo mkubwa utapata faida

Unaweza ukatumia Saibaba au Mordern coach kusafilisha mzigo wako kwa bei poua
Nauli 130,000/= kwenda na kurudi. Weka hapo kula kulala. Kuna sehemu panaitwa MUKWANO MALL ndo kariakoo ya Uganda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nice comment...!

The Great Gatsby
 
Habari wakuu nahitaji kufanya biashara ya kuuza nguo
Ninaa 5milion kam mtaji ushauri wa mawazo na wapi kwa kupata nguo kwa bei nafuj
Shukrani kwenu
 
Hahahaha ulibug usingeshuka mukono ni kama uje Dar kufata mzigo harafu ushukie chalinze.!!
Wiseboy umemsoma Stunna [emoji651]?


May Allah bless Me and You
 
nami naomba tuonane pm unipe mbinu za kodi plss stunna
 
Stunna webale nyo webalile dalla na a'kasigadeyo katwongeleko sebbo, ki ukweli ukitaka kuifaidi biashara ya nguo Kampala, hebu dili na nguo za special, nguo za mitumba kiasi fulani kuna ugumu japo inawezekana pia. Kama utatokea mutukula ukiwa unarudi ukifika Kyaka kuna figisu nyingi sana kuliko hata pale TRA ya mutukula,. Ila biashara ya nguo za special kwa kampala zinalipa sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…