winnie priyanca
JF-Expert Member
- Sep 20, 2015
- 200
- 97
Gawanya 30000ug *1.58 = utapata jibuBidhaa gani hasa zinafaa kwa tanzania...na je hiyo 30000ug sawa nashingap yakibongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gawanya 30000ug *1.58 = utapata jibuBidhaa gani hasa zinafaa kwa tanzania...na je hiyo 30000ug sawa nashingap yakibongo
ina depend na rate iliyopoBidhaa gani hasa zinafaa kwa tanzania...na je hiyo 30000ug sawa nashingap yakibongo
Yes inatosha kma unajua kilichokupeleka maan jmn kuna tamaa y vitu hukooo aiseeNna kama 3m inatosha kufuga mzigo uganda pamoja na nauli kula
Nikushukuru weweNafurai kwakuni appriciate mchango wangu kwa safari yako. Una roho nzuri. Ulikuja hadi Dm kunishukuru. Nakushukuru sana nawe pia kwa Moyo mkuu
Naomba kujua vipi kuhusu pesa ni njia ipi inatumika bank au cash on handYes inatosha kma unajua kilichokupeleka maan jmn kuna tamaa y vitu hukooo aisee
Kama una master card ya bank yoyote huku basi ATM yoyote inasom basi njia Nzuri weka pesa zako bank .. Makato ya kutoa Kule n kidogo sana kulinganisha mpesa au airtelmoney au tigoNaomba kujua vipi kuhusu pesa ni njia ipi inatumika bank au cash on hand
Asante sanaKama una master card ya bank yoyote huku basi ATM yoyote inasom basi njia Nzuri weka pesa zako bank .. Makato ya kutoa Kule n kidogo sana kulinganisha mpesa au airtelmoney au tigo
Stanbic bank iko vizur nakushaur kuliko ATM za mtaan wakora wengi
Passport n lazima nakushaur fatilia ndani y Siku moja unapata kma unakila kituJe kama sina passport ila nina kadi ya chanjo ya manjano haiwezekani kwenda?
Mheshimiwa border haizoeleki na usitegemee leo n hii kesh itakuwa hiyo hiyo . no way we Nenda utajua huko huko kuhusu borderMzigo wa mil 2 pale border wanaweza kunichaji shngapi?
Kabisa bei n nzuri kuliko tz1.Vifaa vya umeme
2.Nguo za watoto
3.Sandals za kiume za mtumba
Hizi bidhaa zinapatikana kwa bei nzuri ukilinganisha na huku Tz?
Million 10 atakinunua kwa 50,000+ Tanzania
Mheshimiwa border haizoeleki na usitegemee leo n hii kesh itakuwa hiyo hiyo . no way we Nenda utajua huko huko kuhusu border
Alianza na mtaji kiasi gani mkuuMe nakutakia kila lenye heri dada, maana kuna rafiki yangu alienda Uganda kufuata biashara, mdogo mdogo sasa hivi ana duka kuubwa la viatu na bidhaa mbalimbali.
Mkuu ungejibu swali hili kimapana ungekuwa umetusaidia wengi sana...hebu funguka kdg ndugu hapo border ndo mahali pekee watu wanapopahofia....jitahidi kutoa jibu zuri ikiwezekana na Mungu atakubariki.Mheshimiwa border haizoeleki na usitegemee leo n hii kesh itakuwa hiyo hiyo . no way we Nenda utajua huko huko kuhusu border
Mbona hujaandika point yoyote hapo .... Kitu cha 100k kiweje 10000??Bei ni nzuri kwa sababu ya hela yao kuwa na thamani ndogo ama imekaaje?
Kama ni hivyo basi Kenyans wameitawala E.A kwao kila sehemu bei ni ndogo kitu cha Million 10 atakinunua kwa 50,000+ Tanzania, Uganda ndo atakipata kwa elfu 30
Hotel ya 100K kwa siku atalala kwa kwa chini ya elfu 10
Boss nimekujibu kwa uzoefu wangu na hta m nilivyouliza mwanz sikuulizs kuhus border coz najua border n ww na serikali pale kila MTU ana njia yake kuweza kuvuka ...sasa unatak nikujib VIP wakat nimekuambia mm sio mzoefu ns border hsizoelek kila ukienda cha jana sio Leo tliza kichwa ueleww nilichosmaJibu vizuri kama mtu mwenye uelewa wa jambo mkuu unajibu kama vile haufahamu kitu bana wakati hata wewe ulikua kwenye hii hali watu wanatamani kufaham kwa uzoefu wako wa trip kazaa kwa mzigo wa milion 2 nitalipa kod mpakani avarage kiasi gani utapaswa kujibu kisomi na kiuzoefu wako we unajibu kama madada wa mtaani bna yan kana kwamba unaona watu wakienda wew hautapata pesa sema
Elezea watu wasaidike nawe kama wew ulivyosaidika na waliokueleza mkuu
Tafadhali rudia kujibu ilo swali please