Biashara ya nguo, viatu, mikoba na cosmetics kutoka Uganda

Narudia kukujibu tena ukiona sikujib vizur kuna wengi walioshaur mwanzo kwnye huu Uzi sawa boss ...sina uzoefu na border kma m nimeenda kuchukua nguo za m2 na ww ukaenda kununua spear unategemea waangalia mtaji wako au wanaangalia bei ya vitu ulivinunua shngap huko UG , second m sio TRA sina nguvu ya kuongea chochote kuhus kodi jomba ...nenda kapambane na ww ujue border inauzoefu gni
 
Anzia Uganda
 
Mtaji Wa kuanzia angalau Wa shi ngapi hivi Kwa mfano biashara yako hiyo?
 
Mkuu ungejibu swali hili kimapana ungekuwa umetusaidia wengi sana...hebu funguka kdg ndugu hapo border ndo mahali pekee watu wanapopahofia....jitahidi kutoa jibu zuri ikiwezekana na Mungu atakubariki.
Uoga hutakiw uwepo ndugu wewe nendaa border utavuka tuu m siwez jmn kuwaambia ushuru boss tunatofautiana sasa kma nikikuambia m nilitongozwa na afisa Mzigo ukapita kweli ntakuwa nmekusaidia nn ?? Somen huu Uzi vizuri utawasaidia
 
Mtaji Wa kuanzia angalau Wa shi ngapi hivi Kwa mfano biashara yako hiyo?
Mtaji wa biashara hutegemea na biashara unayotaka kufanya na sio makisio .... Ukisema mtaji n kujumlisha pango LA from,Mzigo,toz za tra huo ndo mtaji wa biashara unajumlisha kila kitu b4 hujaanza biashara ,uliza unataka unachotska kukifanya unahitaji kama sh.ngapi hpo nweza kukukadiria kwa UG unahitaji sh.ngp mpk ufanikishe Mzigo kufik home
 
Safii kwa mrejesho.
Faida ipo au mdogo mdogo..
 
Oky in hiv UG wana product tz hamnaa nyingi sanaaa hata material n konki kuliko unachokinunua Kkoo nchi kma uturuki,dbai,China bidhaa nying wanazipeleka UG tz vitu vingi n low quality ndo sababu y mm kwenda UG na sio Tz ,ukiongelea Mombasa o Kenya , wako vizur kwa mtumba not special hta kidogo huwez fananisha Nguo ,Viatu vya Tz na UG ...mtymba wa UG n konki sana ...wafanyabiashara wengi tunaangalia urahs wa bei ila sio quality ila wachache tunaangalia.... Nilivyorud juz nimebeba msswat y mtumba UG quality safi sanaaa hta 20000 unauza kiroho safii, sitaki kuangalia pesa ikoje ya UG coz hata sis wa Tz hatuko proud na thamn y pesa yetu ...na kuna WaUg wanakuja kkoo kununua vitu pia
 
Oky in hiv UG wana product tz hamnaa nyingi sanaaa hata material n konki kuliko unachokinunua Kkoo nchi kma uturuki,dbai,China bidhaa nying wanazipeleka UG tz vitu vingi n low quality ndo sababu y mm kwenda UG na sio Tz ,ukiongelea Mombasa o Kenya , wako vizur kwa mtumba not special hta kidogo huwez fananisha Nguo ,Viatu vya Tz na UG ...mtymba wa UG n konki sana ...wafanyabiashara wengi tunaangalia urahs wa bei ila sio quality ila wachache tunaangalia.... Nilivyorud juz nimebeba msswat y mtumba UG quality safi sanaaa hta 20000 unauza kiroho safii, sitaki kuangalia pesa ikoje ya UG coz hata sis wa Tz hatuko proud na thamn y pesa yetu ...na kuna WaUg wanakuja kkoo kununua vitu pia
 
Oky in hiv UG wana product tz hamnaa nyingi sanaaa hata material n konki kuliko unachokinunua Kkoo nchi kma uturuki,dbai,China bidhaa nying wanazipeleka UG tz vitu vingi n low quality ndo sababu y mm kwenda UG na sio Tz ,ukiongelea Mombasa o Kenya , wako vizur kwa mtumba not special hta kidogo huwez fananisha Nguo ,Viatu vya Tz na UG ...mtymba wa UG n konki sana ...wafanyabiashara wengi tunaangalia urahs wa bei ila sio quality ila wachache tunaangalia.... Nilivyorud juz nimebeba msswat y mtumba UG quality safi sanaaa hta 20000 unauza kiroho safii, sitaki kuangalia pesa ikoje ya UG coz hata sis wa Tz hatuko proud na thamn y pesa yetu ...na kuna WaUg wanakuja kkoo kununua vitu pia
 
Nimeshasema hapo kwa biashara kama hiyo ya kwako
 
Sasa boss mm kutak kujua yote hyo wanapelekaj m ntajulia wapi hahahaha
M Niko kibiashara na sio ki uchunguzi umenchekesha kwel
Unakaa kanda ya ziwa mnashindwa kuzam UG na kufanya biashara za maan alafu kma uki karibu hivyo msswali yote ungekuwa n majibu yake kwa ukaribu ulionao I wish ningekuwa nakaa karibu kias hicho .... Acha kuwaza mengi kma unahit biashara nenda otherwise unahitaj kuchangia mada tu na kujifunza
 
Nimeshasema hapo kwa biashara kama hiyo ya kwako
Sina cha kukujibu swali lko halijajitosheleza , soma maelez kwanza then uliza coz hta biashara nayofanya na mahali nakoish na ww unakokaa hatuwez kulingana kwenye mtaji mjomba biashara INA mambo mngi sio tuu kuuza na kupata faida . km mm KOd nalip 200000 kila mwez n ww ukalip 100000 huon tayr tunatofautian mtaji ...re-read
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…