Biashara ya nguo, viatu, mikoba na cosmetics kutoka Uganda

Biashara ya nguo, viatu, mikoba na cosmetics kutoka Uganda

wiseboy kosa ulilofanya hukufanya utafiti vizuri. Siku nyingine huulize kwanza maana kama haujafanya utafiti ukienda sehemu yoyote utaumizwa.

Kila nchi kuna maduka ya gharama na bei ya chini ni vizuri kujua maeneo kabla ujaenda

ahsanteni sana sana kwa kutuonesha njia....
 
Last edited by a moderator:
.....JE NILIENDELEA AMA?...
Kwa kweli sijarud tena kuchukua huko mzigo nikaamua kubadili upepo, nikaenda maduka ya hapa dsm kwa wahindi wapumbavu watupu, wezi wale, matusi yao mizigo mibaya kama roho zao, just hasara juu ya hasara...
Kwa sasa nachukua nguo ilala na zinanilipa, kuna jamaa pale wana vijana wao wanapoint nguo kali kali wenyewe wanaita sumu, then inapofika mchana wanazitundika kwa pamoja, wamenizoe nikifika mfano mtu ana nguo kama elf 5000 katundika anakuruhusu uchague zile utakazo na wanafanyaje
1.tops nachukuaga kwa 3000 unauza elf 8000
2. Gauni ndef nachukuwa kwa 8000 nauza mwisho 15,000
3.gauni fupi 5000 nauza elf 10 mwisho
4.skin jeans nachukulia elf 5, nauza 10,000 mwisho,
5.sketi fupi 5000 na kuuza 10elf,
hvyo naona bora hii ya bongo kuliko uganda, sikutaka kuwa mchoyo kwan jf imenisaidia mengi ktk maisha yangu, pia kama kuna m2 ana ushauri kuhusu the way ninavyofanya hii biashara namkaribisha, kama kuna sehemu nyngne pana soko zuri la mtumba namkaribisha pia, nimeandika mara nyngi nyingi coz natumia 4n kuandika, karibuni wadau tusaidiane hasa vijana maisha yasonge mbele.

mko juu sana nikweli pamoja tunaweza..
 
Shukrani za pekee kwa Money Stunna na wadau wengine kwa kutupa data za muhimu kuhusiana na hizi fursa za biashara
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Dumelang plz hebu niPM namba zako najaribu kukutumia ujumbe huko PM unagoma cjui kwanini Nina bwana mdogo wangu anataka kufata Viatu huko sasa anataka Mwangaza kwenye maeneo flan nikipata mawasiliano yako au yeyote mwenye uzoefu wahuko Itakuwa msaada tosha namba zangu ni 0764 504 540 Natanguliza shukrani

Dah, long tym leo ndio naona hii msg yako, unajua app ya jamii forum ni weak kidogo kuna uptodates kama za quote huwa hai alert, sorry bro ila nazani ushafanikiwa
 
Last edited by a moderator:
Dah, long tym leo ndio naona hii msg yako, unajua app ya jamii forum ni weak kidogo kuna uptodates kama za quote huwa hai alert, sorry bro ila nazani ushafanikiwa

Habari ya cku kiongozi kwakweli bado cjafanikiwa dogo amefungua kibanda cha kuunza nguo wenyewe wanaita kuPOINT lkn wazo lakwenda huko bado liko palepale....amepata oda ya simple shoes za kiume kutoka huko cz wateja wake wanasema simple ya kichina yakule iko na quality nzuri na bei ingemlipa sasa kila nikijaribu kuchek na watu wanaokwenda huko hawanipi majibu mazuri...so plz mkuu.. bado nahitaji mwongozo wako ikiwa unajua ni maduka ya maeneo gani akienda huko ataweza kupata bidhaa hiyo.....plz nichek humo...0776 800 648 na 0788 860048 natanguliza shukrani
 
Habari ya cku kiongozi kwakweli bado cjafanikiwa dogo amefungua kibanda cha kuunza nguo wenyewe wanaita kuPOINT lkn wazo lakwenda huko bado liko palepale....amepata oda ya simple shoes za kiume kutoka huko cz wateja wake wanasema simple ya kichina yakule iko na quality nzuri na bei ingemlipa sasa kila nikijaribu kuchek na watu wanaokwenda huko hawanipi majibu mazuri...so plz mkuu.. bado nahitaji mwongozo wako ikiwa unajua ni maduka ya maeneo gani akienda huko ataweza kupata bidhaa hiyo.....plz nichek humo...0776 800 648 na 0788 860048 natanguliza shukrani

Nimepata namba yako, nitakuunganisha na wanaokwenda kila mwezi, sisi wafanyakazi kazi huwa mpka likizo
 
namimi please naomba niunganishwe na waendaji ima dolevaby au Dumelang,ntashukuru sana, namba zangu ni 0714478797
 
kumbe kiembe samaki ulikuwa hujafika huku ushayapatia maisha ndugu ila kaza buti na anza mchakato mapema usisubiri muda ukupite bure mwanzo wa asubuhi uanza mapema sio jioni upo hapo best
Jamani, maisha nilikuwa nayaona magumu kweli! Nimesoma hii thread tu nikaona yamekuwa rahisi! Hakyanani inabidi nijipange ili mwaka 2015 kieleweke!
 
jaman kama mtu anakua na sample ya picha ya nguo za huko mtuwekee ili mtu anapoenda ajue anaenda kukutana na mitumba ya aina gan
 
Habari wanajamvi,

Ninampango wa kwenda nchini Uganda kwa ajili ya biashara ya nguo, mikoba, viatu, na cosmetics nchini Uganda na mpango wangu nikujipanga tu nikiwa na TZS5,000,000 milion tano basi nianzishe nipo Arusha.

Mswali;


1. Je ni sehemu gani nchini Uganda naweza kupata vitu hivyo kwa bei ambayo nikuza kwa bei zetu hapa Tanzania.
Nitapata faida? Sample price tafadhali.

2. Je kwa pesa yangu milion tano nitaweza kwel kuleta mzigo wenye tija?

3. Mimi nimgeni kabisa katika biashara hii ni vitu gani napaswa kuviepuka?
ili nisije nikaingia pabaya na kushindwa kutimiza kusudi?

Naomba ushauri wowote ambao unahisi utanisaidia katika eneo lolote
 
Kwa nini kila mtu anafikiria kuchukua vitu nje na kuleta nchini? Kwa nini tusifikirie vitu vya kuchukua Tanzania kupeleka nje? Dola itafika 5000
 
Kwa nini kila mtu anafikiria kuchukua vitu nje na kuleta nchini? Kwa nini tusifikirie vitu vya kuchukua Tanzania kupeleka nje? Dola itafika 5000


Pasipo kufichana vitu vya Tz havina ubora kabisa, ukichukua mkoba hapa TZ ukapeleka nje tayari utakuwa umeua soko lako milele, maana mtumiaji akifanikiwa kutumia kwa miezi 3 basi hapo muujiza umehusika.

aisee vitu vyetu ni sheeedah!!!!!!! chukua kitenge cha tz kikifuliwa mara moja kinachuja rangi na kikikauka kimechakaaaa. chupi za kike ndio usiseme haieleweki imetengenezwa kwa material gani, ni kukomaa na kulegea tu. acha tutoe nje tulete ndani ili kulinda soko na wateja hatuna jinsi.
 
Pasipo kufichana vitu vya Tz havina ubora kabisa, ukichukua mkoba hapa TZ ukapeleka nje tayari utakuwa umeua soko lako milele, maana mtumiaji akifanikiwa kutumia kwa miezi 3 basi hapo muujiza umehusika.

aisee vitu vyetu ni sheeedah!!!!!!! chukua kitenge cha tz kikifuliwa mara moja kinachuja rangi na kikikauka kimechakaaaa. chupi za kike ndio usiseme haieleweki imetengenezwa kwa material gani, ni kukomaa na kulegea tu. acha tutoe nje tulete ndani ili kulinda soko na wateja hatuna jinsi.

Apologise lady, nafikiri hata UG bidhaa nyingi zenye ubora hawa-produce wenyewe bali nao wana import kutoka nje?
 
Nafikiri hata UG bidhaa nyingi zenye ubora hawa-produce wenyewe bali nao wana import kutoka nje?

Yap, nikweli wanaimport kutoka nje ila angalau wanaingiza vitu vyenye ubora kiasi, aisee!!!!! ukitaka kupoteza wateja chukua vitu vya kariakoo muuzie mteja, hakyamungu kesho hanunui kwako,. na vile vyenye ubora ni ghali mno kiasi kwamba mtz wa kawaida hawezi kununua eti mkoba kwa 50000-80000, wengi hununua kati ya 20000-35000 lakini haina ubora kabisa kabisa.
 
Uganda hawatengenezi kitu na wao wanaagiza. Utofauti ni kuwa wanaagiza toka wapi?
Sijaona "Made in Uganda"
 
Back
Top Bottom