Biashara ya Nguo za Mtumba: Ushauri na Muongozo wa Kuifanya kwa Mafanikio

Biashara ya Nguo za Mtumba: Ushauri na Muongozo wa Kuifanya kwa Mafanikio

=> nguo za watoto miaka 0-4, NDO ZITAKUTOA HASA WAKIUME BUKTA ZA JEANS, VIGAUNI YA WAKIKE PIA VINALIPA kumbuka watoto huvalishwa nguo zaidi ya nne kwa siku, hujikojolea kujichafua kwahiyo wanahitaji nguo nyingi kuliko rika lingne

=>NGUO za watoto utakayo muuzia MWANAUME ni bei ya juu kuliko MWANAMKE sababu ni kwa kuwa wanaume wengi hawajui bei za nguo kama akina mama

=> NGUO ZA WANAWAKE HASA WADADA ZINALIPA kumbuka wanaume hawana tabia za kununua nguo kama wanawake

=>BELO MOJA LA NGUO ZA WATOTO LINA NGUO 300 au 400 na kuendelea linauzwa GRADE Three 220,000/= GRADE TWO 350,000/=

GRADE ONE 600,000/= nyingne ni 800,000/=

bei ni ZA mnazi mmoja DAR ES SALAM

=> UKICHAMBUA KARUME FANYA KUWAHI ASUBUHI SANA SAA 10 ASUBUHI UKACHAGUE

=>TAHADHARI: ufunguapo BELO ni sawa na nazi hujui kama ni nzima au mbovu ndani, UNAWEZA NUNUA UKAPATA NGUO NZURI MPAKA RAHA siku nyingne ukanunua zote mbovu haziuziki hata moja NDO BIASHARA ILIVYO
Hizo bei ni fixed?
 
=> nguo za watoto miaka 0-4, NDO ZITAKUTOA HASA WAKIUME BUKTA ZA JEANS, VIGAUNI YA WAKIKE PIA VINALIPA kumbuka watoto huvalishwa nguo zaidi ya nne kwa siku, hujikojolea kujichafua kwahiyo wanahitaji nguo nyingi kuliko rika lingne

=>NGUO za watoto utakayo muuzia MWANAUME ni bei ya juu kuliko MWANAMKE sababu ni kwa kuwa wanaume wengi hawajui bei za nguo kama akina mama

=> NGUO ZA WANAWAKE HASA WADADA ZINALIPA kumbuka wanaume hawana tabia za kununua nguo kama wanawake

=>BELO MOJA LA NGUO ZA WATOTO LINA NGUO 300 au 400 na kuendelea linauzwa GRADE Three 220,000/= GRADE TWO 350,000/=

GRADE ONE 600,000/= nyingne ni 800,000/=

bei ni ZA mnazi mmoja DAR ES SALAM

=> UKICHAMBUA KARUME FANYA KUWAHI ASUBUHI SANA SAA 10 ASUBUHI UKACHAGUE

=>TAHADHARI: ufunguapo BELO ni sawa na nazi hujui kama ni nzima au mbovu ndani, UNAWEZA NUNUA UKAPATA NGUO NZURI MPAKA RAHA siku nyingne ukanunua zote mbovu haziuziki hata moja NDO BIASHARA ILIVYO
Bei ya belo la jeans za kiume sh ngap na hukaa ngap
 
Nijulishe aina za nguo unazotaka. Nikiyuma mzigo nitakufungia huo mzigo wako na ukifika Dar utapigiwa simu ukaangalie mzigo wako. Nipo Canada na sehemu ninayosushia mzigo ni machinga complex. Nimekuwa nikileta viatu tu lakini container inayofuata sasa itakuwa na nguo grade 1.

Email yangu ni faoincredible@yahoo.ca

Karibuni wote
Habari,nimeona una deal na mitumba
naomba contacts zako
am retailer
 
Balo zipo sehemu nyingi
Changamoto ni iyo uchakachuzi wa mabalo, niliwai kwenda uganda balo hazifunguliwi.

Mara nyingi balo ikiwa na koa, imefungwa na yale mabati inakuwa haijafunguliwa, ila ikiwa na plastic mara nyingi izo ndizo zimefungwa upya, ila c lazima iwe ivo.

Haya ni jibu swali wanalokwepa wengi zinapatikana wap?

Ukifika mnazi mmoja dar, kama unatoka k.koo nyooka moja kwa moja kama unaenda mnara wa saa au stesheni, unapovuka tu makutano ya pili ya mataa, ya mnazi mmoja kuna maduka wanauza sana kanga na vitenge, kuanzia hapo, maduka ya mitumba nikibao, nenda mtaa wa pili kama sikosei unaitwa sofia, maduka kibao hapo mitumba tupu, yani zunguka eneo ilo utapata mitumba kibao.

Pili ukiwa congo, k.koo kituoni mkono wa kulia ukiwa unaelekea mnazi lipo duka moja hapo kwa mhind linapakana na duka la samsung.

Tatu Magomeni, ni eneo jipya hili, ofis za ttcl ukifika hapo upande wa pili utaona mitumba had ya viatu wholesale bales.

Hapa magomeni ni makutano ya mataa pale ukiuliza ofis za ttcl utaoneshwa.

Changamoto ni kupata bales nzuri, kama unaweza mtafute mteja wao mzoefu wanaempaga vitu bora, akuchukulie.

Au washikishe wale jamaa tingo wa dukani kitu kidogo, wambie nipe kitu cha maaana jifanye ni mzoefu ila unabadili duka tu.

Ukijifanya mzoefu usizubae, kwa mfano ukiuliza mixer ya nguo za kike, akikuuliza kg ngap unakuwa shapu kuonesha unajua, sio wanauliza Kg hujui kuwa balo zina kilogram

Au unaulizwa material inayotaka hukui, either cotton, nylon n.k

Nahs nimesema kidogo kitakachowasaidieni
Mkuu umenifungua
 
Nimefaidika na michango yenu sasa niko tayari kuingia kwenye hii biashara japo mtaji hauzidi 1M, mobile yangu ni 0688186936 kwa msaada wenu zaidi niko Mkoa ila nitakuwa weekend hii.
 
Wakuu mimi nauza mitumba kwa rejareja bei poa kabisa nguo aina zote niko dsm, temeke,mbagala,kizuiani ila mwenye kuhitaji nguo kuanzia kumi tunampelekea mzigo anachagua baada ya kuthibitisha uhitaji wake
Namba zako mkuu
 
Ninataka kuanzisha biashara ya rejareja kununua mitumba ya nguo specifically T-Shirts, jeans na mashuka pia.
Ninataka kujua yafuatayo

1. Ni wapi nitapata hizo bales kwa hapa Dar na muda gani bales zinapatikana.
2. Bei za bale zipoje na je zinatofautiana kwa bei?
3. Uzoefu wa biashara hii.Je inalipaje kwa mfano ukinunua bale moja.

Nawasisha tafadhali.
 
mnazi mmoja kuna sehemu wanauza, ila Tshet nyingi zinakuja zimechakaa,
nakushauri uangalie blauz za wadada, na hivyo vingine.
ukianza kuuza niite nikusaidie kupiga mnada
 
Ninataka kuanzisha biashara ya rejareja kununua mitumba ya nguo specifically T-Shirts, jeans na mashuka pia.
Ninataka kujua yafuatayo

1. Ni wapi nitapata hizo bales kwa hapa Dar na muda gani bales zinapatikana.
2. Bei za bale zipoje na je zinatofautiana kwa bei?
3. Uzoefu wa biashara hii.Je inalipaje kwa mfano ukinunua bale moja.
Nawasisha tafadhali.

Unataka kupeleka ulaya?
 
mnazi mmoja kuna sehemu wanauza, ila Tshet nyingi zinakuja zimechakaa,
nakushauri uangalie blauz za wadada, na hivyo vingine.
ukianza kuuza niite nikusaidie kupiga mnada
Vipi.kunaweza kuwa na za mabale yaliyofunguliwa nikachagua moja moja zikawa hata mia then kukawa na makibaliano ya jumla ya hizo mia nitakazochagua..
 
Habarini wanajamvi,

Nahitaji kuanza biashara ya kuuza nguo za mtumba nzuri, updated,grade1 za kike kwa wanafunzi wa vyuo mkoani morogoro soon after kufungua vyuo.

Naomba kujua sehemu gani Dar -es-salaam ambayo nitapata mtumba classic wa kike with affordable price ambayo nitapata chochote hata mimi nikienda kuuza.

Ahsante

Maoni na ushauri ni muhimu.
 
hiyo mitumba imekatazwa kuingia TZ na kwa sasa tunajiandaa kutoa TZ na kuipeleka ulaya sasa we ukikataa agizo utaitwa mchochezi
 
Back
Top Bottom