Biashara ya Nguo za Mtumba: Ushauri na Muongozo wa Kuifanya kwa Mafanikio

Yap,kumbe wewe unaijua vzuri hii biashara!
 
Balo laki 5 na 6 huwa zina nguo cllassic kama upo chuo kwa nini usinunue viatu na vinguo vya kina dada mkifungua unauza?chuo inalipa sana kama huna aibu mi nimefanya sana nilipokuwa chuo, suruali niliyonunua kiboriloni mia 5 ilitosha kuuza hadi elfu kumi .
 
Email ni faoincredible@yahoo.ca Kuna ambao wamenitumia email sasa sijui tatizo la email kugoma linasababishwa na nini. Ila waweza niwekea simu yako ya mkononi kwenye PM na hivyo nami nitakupa simu yangu ya mkononi kwa njia hiyo.

Katika kutuma sms au email naweza jibu mara moja kama umeituma kuanzia saa 8 mchana maana Tanzania mpo masaa saba mbele ya Canada. Otherwise niko open ili pamoja tusonge mbele.
 
Mkuu e-mail yako inanigomea kaka ikague vizuri

kama unatumia gmail itagoma, mi mwenyewe jamaa zangu wenye email za canada inakataa nikitumia gmail, huwa sielewi ni kwanini, ila ukitumia yahoo inakwenda
 
Mkuu, vipi umeshaweka system. Nataka kupress order
 
Ndg zangu wana JF naomba kusaidiwa mawazo katika biashara hii ya nguo za kike;

1. Mtazamo wako kama inalipa au hailipi
2. Location sahihi ni ipi
3. Nitarajie changamoto zipi?

Pia, kama unaushauri mbadala nitaupokea na kuufanyia kazi.
 
Habari wana Jamii!

Niko US nataka sana kuanzisha biashara ya mitumba , ningependa kuuza marobota. Sasa basi kama kuna mwanaJamii anahusika na hii biashara ningependa kujua yafuatayo:

- Robota la grade A ni kiasi gani?
- Bora kuuza mnadani au kuwa na sehemu?
- Vipi usumbufu Bandarini?
- Ili kuchukua, approximately kiasi gani kuanza biashara?

Na kama una ushauri za zaidi ningeshukuru

Asante wanaJamii..

========

Baadhi ya michango, maoni na maswali mengineyo kutoka kwa wanaJF..






==========

Swali lingine lenye kona tofauti lakini maudhui sawia


 
Sina uzoefu sana, ila kwa sasa kila unapotembelea wauza mitumba wanadai wadosi wanachakachua sana Bales, linalosemekana grade 1 unakuta 75% ni gade ya mwisho kabisa. Kwahiyo source iliyobaki, reliable ni nchi za jirani kama Kenya na Uganda, ambapo kwa mfanyabiashara mwenye mtaji mdogo ni kitendawili.

Kwahiyo itategemea kama unaleta kusupply wauzaji wakubwa au wauzaji wa mwisho, ila opportunity kutokana na mazingira hayo niliyokuambia ipo na tena nzuri, kizuri kinajiuza jombaa.
 
Kaka Asante.

Yes mi nataka kuleta contena niuze Mabelo sio nguo moja moja. Na as far as I know uko minus huku Mabelo yameshafungwa kwenye grade unayoitaka wewe. Kwa hiyo mi kama kuleta ntaleta na kuuza moja kwa moja. Asante kwa kunielimisha kaka
 
Kama kuna mwenye uzoefu anielimisha kwenye hili swala please: je belo lenye nguo mchanganyiko (za kike na za kiume) linauzwa tofauti na belo lenye nguo za aina moja?
 
Kaka nguo zikiwa mchanganyiko huwezi kuuza vizuri.let me tell u nguo za kiume first class ndio znalipa sanaaaaa mfano muhindi anauza belo ya jeans znakua 200 kwa Tzs 540,000 jeans 80 mpk 90 ndio hua nzuri
 
So far nimeongea na 3 different companies moja hapa US, nyingine Australia, na UK wote wanadai wanauza Mabelo mchanganyiko tu. ntaendelea kutafuta Kabla sijaanza kuleta mzigo bongo. Asanteni wana jamii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…