Biashara ya Nguo za Mtumba: Ushauri na Muongozo wa Kuifanya kwa Mafanikio

Biashara ya Nguo za Mtumba: Ushauri na Muongozo wa Kuifanya kwa Mafanikio

Na kweli ujuzi unatakiwa, huchelewi kubeba belo ukakutana na robo tatu pajama!
 
BD kila la kheri sana japo kwa miaka hii hiyo biashara ni kubahatisha sana mabelo yenye nguo nzuri.

kama uko bongo nenda pale mwenge saa za alasiri hasa jmosi, chagua wana mitumba mizuri sana hasa za akina dada/mama
ukinunua nguo 100 @200-500/= unaweza kuziuza 1000 hadi 5000/= tena kwa uhakika wa kurudisha pesa mara dufu
iwapo utapitisha maofisini. Ukifanya hiyo niambie nikuelekeza mahali nilipo utauza.
 
Last edited by a moderator:
BD kila la kheri sana japo kwa miaka hii hiyo biashara ni kubahatisha sana mabelo yenye nguo nzuri.

kama uko bongo nenda pale mwenge saa za alasiri hasa jmosi, chagua wana mitumba mizuri sana hasa za akina dada/mama
ukinunua nguo 100 @200-500/= unaweza kuziuza 1000 hadi 5000/= tena kwa uhakika wa kurudisha pesa mara dufu
iwapo utapitisha maofisini. Ukifanya hiyo niambie nikuelekeza mahali nilipo utauza.

Seems unajua biashara nyingi..Nitakutafuta unipe ilimu ya ujasiriamali.
 
Last edited by a moderator:
BADILI TABIA, Kwa TRA sina hakika sana but VAT ni 18% na Import duty around 35% ya CIF! Unaweza cheki na mtandao wa tra wenyewe, hapa pia lazima uongeze port charges za handling ya container lako za TPA, pia na ICD charges, tia maanani kuwa ICDs zinatofautiana bei ya handling.....utata mtupu, ukizoea haina shida!
 
K.Msese Respect to you Mkuu. Nimepokea ushauri wako. Kama nilivyosema mwanzoni bado sijaanza biashara na gather info kwa sasa. Kwahiyo basi ntacheki na Yuko jamaa yangu nione kama Ana viatu.

Kuhusu usafiri nimeahaongea na jamaa mi ntamlipa huku kila kitu yeye ataleta mzigo bongo na kuutoa mi ni kwenda kuupokea tu akishamalizana na Bandari.

Asanteni sanaaa jamani kama kuna jingine msisite kunistua.
 
Last edited by a moderator:
hermanm, Karibu sana!

Kuhusu viatu, sio bora viatu bali ni viatu vilivyo na ubora! africa na tanzania now sio people who takes junkies stuffs or garbage!

-Wasiwasi wa vitu vya kutuma au kuagiza badala ya kufanya mwenyewe baadhi ya mambo huwa inapelekea issue yako inakuwa over priced! Kumbuka anaye kutolea naye ana undergo same usumbufu unaoukwepa but not for free, lazima atakuchaji lakini ukiwa mwenyewe utakuwa na wigo mpana wa kuchagua clearing agency mwenye rate nzuri na mwenye efficiency. Pia, kwakua mzigo ni wako, lazima utakuwa na uchungu wa kukimbiza documents mwenye to tbs tra na kubagain incase sehemu hukuridhika, am sorry, ni maoni yangu tu mkuu na haina maana jamaa yako sio mwaminifu au hatofanya kazi kwa uaminifu!
 
Namimi napenda kujua kwa wazoefu, Kuna mtu anataka kunitumia viatu kama pea 40 kutoka Netherlands hivi ni njia ipi ambayo ni nafuu na salama kwa hiyo mizigo kufika.
 
Yup China kuna mitumba mpendwa tena sagula sagula.
Ukienda Guangzhou, kuna soko kubwa linaitwa Canan "jianan"...huko kuna mtumba na nguo mpya pia.

I see sikuwa najua asante kwa kunifungua macho.
 
Back
Top Bottom