Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thank you BADILI TABIA
Umenimiss eeeh
Daa hii biashara mother angu aliifanya sana na alikuwa ana chukua kariakoo hata lile duka nimesha lisahau lakini inalipa sana! Maana alikuwa akishusha mzigo anauza sana.
Biashara nzuri!
ndo nataka niifanye na mie ...tatizo wahindi wanachakachua first class...la ndo ufate kampala au nairobi au ujilipue kuagiza nje......lakini kuna chimbo nimeligundua acha nitake risk nione zitakuwaje
Ninapenda zaidi mpya ila nitaangalia mahitaji ya soko at a time,na kama nitafanya ya mtumba basi itakua grade A.nashukuru kwa ushauri, ila nackia huwa wanachakachua sana kama mtusi mzoefu kwenye hayo mabelo, je ni kweli kaka?Kaka za mitumba au za dukan? Na pia inategemeana na aina ya nguo unazouza ni zip, zipo first, second au third class? Mabeli ya nguo yanapatkana kwenye store za nguo, Kariako, Kisutu na Boma Ilala. Kwa kifupi, mtaji wa milion moja had moja na nusu unatosha kwa kuanza.
Nimekusoma mkuu, vp gharama zake itakua shilingi ngapi?Kristian habari mzee! Kuanzia tarehe 25 April natarajia mzigo wangu ufike dar from marekani. Nina mabox mawili moja 20x20x20 na jingine ni 24x24x24 yamejaa nguo za watoto, wanawake na kidogo za kiume. Zote ni mpya kabisaaaa. Nataka mtu wa kuzinunua jumla kama unahitaji nistue tafadhani. Na kama kuna yeyote atahitaji tafadhali nijulisheni
asante kwa taarifa nami nataka kufanya hiyo biashara, sasa bei ikoje kwa hiyo mizigo yako nahitaji zaidi nguo za watoto na wanawake.Kristian habari mzee! Kuanzia tarehe 25 April natarajia mzigo wangu ufike dar from marekani. Nina mabox mawili moja 20x20x20 na jingine ni 24x24x24 yamejaa nguo za watoto, wanawake na kidogo za kiume. Zote ni mpya kabisaaaa. Nataka mtu wa kuzinunua jumla kama unahitaji nistue tafadhani. Na kama kuna yeyote atahitaji tafadhali nijulisheni
dar kubwa, jiji lina idadi ya watu mil 5.6 ww uko wapi?
Je nguo unazotaka kuuza ni za jinsia gani?
Mil 3, mtumba grade 1 huwezi funga hata bell mmoja.
Toa habari zilizokamilika upate msaada mkuu.