TheGodfather95
JF-Expert Member
- Sep 27, 2014
- 1,763
- 1,830
Cha ajabu, nyuma kuna msikiti mbele kuna msikiti na kanisa. Huwa napaona kwa nje tu,wanaotoka humo wanakueleza kinachoendelea.
Nasikia ni pazuri sijawahi kuingia hapo. Ila panasifika.
Naunga mkono hoja.Kila sehemu kwenye night club wanapiga Amapiano
Nonsense
Wauza nyama....decodedHapo Sasa wauza nyama kibao hatari Yani sehemu za starehe Dar usipo kuwa mjanja unapotea.
Duh misosi bei gani? Ili nikija na mtu nijue maumivu yake kabla.1245 ndio yenyewe mda huu sema Sasa usipokuwa vizuri ndio basi tena[emoji23][emoji23][emoji23] Shisha pekeee 80,000 Tsh Jagger 170,000 Tsh ndegeresi
Wauza nyama....decoded
N vina watoto wakali
Hahahahaha..swadaktaKama pale kwa Mambise [emoji119][emoji119]. Mimi mwenyewe mwanamke ila nilijisemea moyoni kuna wanawake wazuri [emoji119]
Duh misosi bei gani? Ili nikija na mtu nijue maumivu yake kabla.
NdioSiku hizi huku mtaani hadi vigrocery vimegeuka nightclubs so watu hawaendi mbali.
Zamani hayo maeneo yalibamba sana kwani maeneo ya kujirusha yalikuwa machache
Sio strategy ya kutakatisha!!?Kila kitu kimekua biashara,watu hawachezi na wako radhi kulipa overpriced drinks kwenye meza coz furaha yao wanaipata kwenye kupost na kuonesha watu wengine(mostly strangers kua wanakula bata).
Kiukweli djz wa sikuiz wanaboa sana,Time really flies aisee. Miaka Ile Bills, Mambo Club hatari na nusu. Sio kwamba hizi open bar hazikuwepo. Weekend imefika jioni unajongea Jolly pale au Qbar unaanza mdogo mdogo moja moja hadi saa 6 unazama bills hadi alfajiri. Dah maisha yake hawawezi kujirudia. Watu wastaarabu wanajua muziki mzuri. Enzi hizo ukitaka oldies unazama Blue Palms unakula oldies balaa hadi kiu inakata unasuuzika moyo kabisa.
Sio sasa hivi ujinga mtupu, open bar lounge ni amapiano tu. Yan unaweza kukaa masaa 5 hujasikia oldies hata moja ni maujinga ya amapiano tu watu wako kama kuku anakata roho ndo styles za kucheza eti.
kila kitu kinaenda na mudaHabari wakuu,
Naona siku hizi zile Night Clubs ndani ya jiji la Dar es salaam hazipo tena zimefunikwa/replaced na Bar kubwa kubwa.
Mfano hapo nyuma palikuwa na club za mziki mbalimbali mfano Billcanas, Maisha basement, Ambiance n.k Lakini siku hizi zile Nights club zimevunjwa na kugeuzwa Lounge,Casinos au bar.
Siku hizi hata ukitaka kuingia club kwa ajili ya kucheza mziki, utahangaika sana tofauti za hapo nyuma kidogo badala yake utaishia kukaa kwenye bar, lounge kubwa kubwa kama vibez lounge, BM Lounge n.k ambazo si club bali ni bar zenye open space kwa ajili ya kukaa na kunywa pekee mziki upo lakini hauna privacy kama club.
Dj mwenyewe unakuta kazaliwa 2006 anamiaka 18 unategemea asipige amapiano mwanzo mwishoKiukweli djz wa sikuiz wanaboa sana,
sisi tunaorukia viwanja kwa sababu ya muziki mzuri currently tunapata wakati mgumu sana.