OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Mimi kijana wa Kitanzania mwenye umri kamili wa miaka 26, mwenye Degree moja ya Procurement, ni mjasiriamali wa biashara ya chakula, Matunda na Forex ..lakini bado naitaji kuongeza kitega uchumi kimoja na nimeona ni deal na vitu hivyo vya kula kula maana mimi mwenyewe nakimbiza (nakula) japo bado ni kimbau mbau tu sijui kwanini😭
Enewei nataka nianzishe hii Harakati ya kuchoma nyama hapa hapa jijini Arusha lakini nataka niwe na atleast vijana wawili ambao tutachangia mtaji atleast 500k (tsh laki tano) kwa kila mmoja ili kufanikiwa hili suala. Nimeona kwa kiasi hicho ndo itakuwa kianzio ila tukikutana tunaweza kufanya mchanguo mzuri.
Jumla tunakuwa watatu na mtaji unakuwa 1.5M; popote ulipo kijana unaonaje tukaunganisha nguvu na kufanya hii Harakati? Hii yote ni kutafuta namna ya kutoboa na kuwa na chanzo nyingi ya mapato.
Hivyo kama uko tayari nitafute tufanye kitu, itapendeza kama utakuwa na uzoefu na kuchoma nyama kwa sababu mimi sina. Ila niko vizuri sana kwenye eneo la location😀 hapo sijawahi kukosea kwakweli.
Lengo nataka badae tuwe na Restaurant ya kuchoma nyama tu. Ndo hivyo yani Nyama tu😃 ..nataka watu wasahau kwa mromboo na maeneo mengine wanayochoma nyama hapa jijini Arusha. Tutachoma nyama za aina zote hadi samaki wa kuchoma atakuwepo, tutajitahidi. Nyama za kuku,ng'ombe,mbuzi,kondoo,bata,sungura na hata nyama za pori kama itawezekana.(sitanii wakuu)
Hivyo nafasi mbili ziko wazi kwa vijana hawa bila kujali jinsia( ila 'Ke' wanapewa kipaumbele zaidi maana kwenye hii sekta wapo wachache sana) karibuni sana.
Pia mnakaribishwa kupata Chakula bora pamoja na matunda maeneo ya Sakina Raskazoni ili tuendelee kujenga taifa. Asanteni.
Namba yangu 0768 246184.
Motto wangu ni ule ule "Usipofanya kitu hakitatokea kitu"
Enewei nataka nianzishe hii Harakati ya kuchoma nyama hapa hapa jijini Arusha lakini nataka niwe na atleast vijana wawili ambao tutachangia mtaji atleast 500k (tsh laki tano) kwa kila mmoja ili kufanikiwa hili suala. Nimeona kwa kiasi hicho ndo itakuwa kianzio ila tukikutana tunaweza kufanya mchanguo mzuri.
Jumla tunakuwa watatu na mtaji unakuwa 1.5M; popote ulipo kijana unaonaje tukaunganisha nguvu na kufanya hii Harakati? Hii yote ni kutafuta namna ya kutoboa na kuwa na chanzo nyingi ya mapato.
Hivyo kama uko tayari nitafute tufanye kitu, itapendeza kama utakuwa na uzoefu na kuchoma nyama kwa sababu mimi sina. Ila niko vizuri sana kwenye eneo la location😀 hapo sijawahi kukosea kwakweli.
Lengo nataka badae tuwe na Restaurant ya kuchoma nyama tu. Ndo hivyo yani Nyama tu😃 ..nataka watu wasahau kwa mromboo na maeneo mengine wanayochoma nyama hapa jijini Arusha. Tutachoma nyama za aina zote hadi samaki wa kuchoma atakuwepo, tutajitahidi. Nyama za kuku,ng'ombe,mbuzi,kondoo,bata,sungura na hata nyama za pori kama itawezekana.(sitanii wakuu)
Hivyo nafasi mbili ziko wazi kwa vijana hawa bila kujali jinsia( ila 'Ke' wanapewa kipaumbele zaidi maana kwenye hii sekta wapo wachache sana) karibuni sana.
Pia mnakaribishwa kupata Chakula bora pamoja na matunda maeneo ya Sakina Raskazoni ili tuendelee kujenga taifa. Asanteni.
Namba yangu 0768 246184.
Motto wangu ni ule ule "Usipofanya kitu hakitatokea kitu"