Peacemakers
New Member
- Mar 16, 2021
- 2
- 0
Nicheki Pm unipe namNimekutxt Pm
Nitumie namba za simu Pm tuzungumze zaidi.Wakuu, nashukuru kwa michango yenu ila samaki ninaotaka kupeleka ni sangara wakuu maana hao sato ni ghali sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nicheki Pm unipe namNimekutxt Pm
Nitumie namba za simu Pm tuzungumze zaidi.Wakuu, nashukuru kwa michango yenu ila samaki ninaotaka kupeleka ni sangara wakuu maana hao sato ni ghali sana
Kaka naomba unicheki 0782210033 nataka hiyo biashara ya samakiKwanza inatakiwa ujue ni aina gani ya samaki (kuna sangara na sato kanda ya ziwa bila kusahau kamongo na kambale) Kuhusu pwani sijui sana
Soko umeshasema ni uhakika sasa kazi imebaki ni wapi utawapata hao samaki, mimi pia najihusisha na hii biashara kiukweli inalipa
Kama upo kanda ya ziwa unaweza kunicheki tukabadilishana ujuzi
Binamu we ndo huyo kwenye avatar?Kaka naomba unicheki 0782210033 nataka hiyo biashara ya samaki
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Ndio, kwa nini umeuliza hilo swali?Binamu we ndo huyo kwenye avatar?
Cymon, mimi nimekujibu swali lako, lakini langu hutaki kujibu kwa nini?Binamu we ndo huyo kwenye avatar?
Asantee kwa ushauliNenda kwa wauza samaki muungishe wiki tayar atakua rafik yako muulize anaandaaje
Nashukuru kwa ushaulMbona hii ni rahisi sana...nunua samaki kwa bei ya chini...wakate vipande kama ni wakubwa wakubwa au kama ni wadogo haina haja....wakaange,peleka gengeni... panga bei unayoona itakupa faida
Usiwe na tamaa ikaweka bei kubwa mno,utafukuza wateja.
Nipo mafinga rafikianguKwanza inatakiwa ujue ni aina gani ya samaki (kuna sangara na sato kanda ya ziwa bila kusahau kamongo na kambale) Kuhusu pwani sijui sana
Soko umeshasema ni uhakika sasa kazi imebaki ni wapi utawapata hao samaki, mimi pia najihusisha na hii biashara kiukweli inalipa
Kama upo kanda ya ziwa unaweza kunicheki tukabadilishana ujuzi
Upo wapi bestkama biashara ya samaki sato na sangara nicheki 0653 562165
jumla lakini